>

BIG BAD WOLF SLOTI YA KASINO YENYE KUTOA MAMILIONI

Meridianbet Kasino ya Mtandaoni hatimaye tena tumekusogezea Sloti yenye hadithi ya nguruwe watatu na mbwa mwitu wanaotema Mamilioni kibao kwa mzunguko mmoja. Hii ni ya kuitwa sloti za Big Bad Wolf na Big Bad Wolf Megaways. Sherehe ya bonasi za kasino ya mtandaoni inakusubiri. Big Bad Wolf Pigs of Steel ni sloti ya kasino ya…

Read More

SIMBA 3-0 KAGERA SUGAR, LIGI KUU BARA

KWENYE mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Uhuru kazi ni kubwa kwa timu zote mbili kusaka pointi tatu muhimu. Dakika 45 za mwanzo Simba wanafanikiwa kupata bao la kuongoza na wanarejea kipindi cha pili kukamilisha ngwe ya dakika 45 ubao ukisoma Simba 1-0 Kagera Sugar kipindi cha pili Sadio Kanoute akaongeza bao la pili…

Read More

AZAM FC MWENDO WAKE HUU HAPA

AZAM FC matajiri wa Dar balaa lao wanaliendeleza kutokana na kushinda kwenye mechi tano mfululizo ambazo ni dakika 450. Ikumbukwe kwamba kasi ya Azam FC ilianza Novemba Mosi ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 0-3 Azam FC, Novemba 4 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 1-3 Azam FC,. Novemba 24 ubao wa Uwanja…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU MTIBWA SUGAR

KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Mtibwa Sugar. Ipo wazi kwamba baada ya kukamilisha mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana kituo kinachofuata ni Azam Complex kuvaana na Mtibwa Sugar. Huo ni ni mchezo wa ligi…

Read More

SIMBA YAMALIZANA NA WINGA WA MABAO

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umemalizana na winga wa mabao ndani ya Mtibwa Sugar, Ladack Chasambi. Nyota huyo jina lake lipo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambacho kilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi za kimataifa hivi karibuni. Ilikuwa ni kwenye kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia…

Read More

KAGERA SUGAR YAWATEGEA MTEGO SIMBA

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Meck Mexime amesema kuwa anawatambua wapinzani wao Simba namna walivyo bora na wachezaji walivyo na akili katika kutimiza majukumu yao hivyo wataingia kwa tahadhari. Maneno ya kocha huyo ni kama mtego kwa Simba kutokana na mpango kazi ambao wanao Kagera Sugar kusepa na pointi tatu mbele ya Simba na ikumbukwe…

Read More

MTAMBO WA KAZI NDANI YA YANGA NI NOMA

IPO wazi kuwa mtambo wa kazi uliotambulishwa ndani ya Yanga ni noma kutokana na majukumu yake kuwarahisishia kazi benchi la ufundi la timu hiyo. Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameongezewa mtu mwingine wa kazi kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye kusaka ushindi. Ni Mpho Maruping kutoka Afrika Kusini ambaye Desemba 14 alitambulishwa rasmi kuwa ni …

Read More