>

YANGA YAVUNA POINTI MOJA UGENINI

KATIKA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika wawakilishi wa Tanzania, Yanga wakiwa ugenini wamevuna pointi moja. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Baba Yara Sports umesoma Medeama 1-1 Yanga ambapo mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza katika dakika 45 za mwanzo. Medeama walianza kupata bao kwa mkwaju wa penalti dakika ya 27 kupitia…

Read More

CHAMA KUKABIDHIWA WAARABU CAF

KUTOKANA na kasi aliyoanza nayo kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy akianzia benchi kunauwezekano mkubwa kiungo Clatous Chama akaanza kikosi cha kwanza. Chama alitimiza majukumu yake kwa umakini dakika 28 alizozitumia dhidi ya Jwaneng Galaxy alipochukua nafasi ya Willy Onana aliyeanza kikosi cha kwanza. Ikumbukwe kwamba huo ulikuwa ni mchezo…

Read More

;IGI YA MABINGWA AFRIKA: MEDEAMA 1-1 YANGA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika dakika 45 ubao wa Uwanja wa Baba Yara Sports unasoma Medeama 1-1 Yanga ikiwa ni dakika 45 za mwanzo. Medeama walianza kupata bao kwa mkwaju wa penalti dakika ya 27 kupitia Kwa Jonathan likawekwa usawa na Pacome Zouzoua dakika ya 36. Ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua…

Read More

MAMBO NI MOTO WIKENDI HII SUKA JAMVI LAKO UPIGE MPUNGA!

Baada ya pilika pilika za wiki nzima sasa tumerejea kwenye jambo letu ambalo si lingine bali ni hili la kutengeneza jamvi lako ukiwa na Meridianbet ambalo litakufanya ukusanye mpunga wa maana na ukaifurahia siku yako vizuri kwani hakuna anayependa kukosa pesa. Ingia meridianbet na usuke mkeka wako. Na mimi nakupeleka moja moja kwenye ligi pendwa…

Read More

YANGA MATUMAINI MAKUBWA KIMATAIFA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa bado una nafasi ya kufanikisha malengo yao licha ya kuanza kwa kusasua kwenye mechi za mbili za hatua ya makundi, Ligi ya Mabingwa Afrika. Baada ya kukomba dakika 180 kibindoni ni pointi moja ilivunwa kutokana na sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Al Ahly, mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa….

Read More

HAYA HAPA MAJEMBE YA KAZI YA GAMONDI KIMATAIFA

KWENYE anga la kimataifa Yanga inayopeperusha bendera Ligi ya Mabingwa Afrika ina wachezaji waliopenya kikosi cha kwanza katika mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika na kukomba dakikazote 90 mwanzo mwisho. Ikumbukwe kwamba leo Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Medeama ya Ghana huenda wakaanza kikosi cha kwanza.

Read More

MTIBWA SUGAR YAPOTEZA TENA UGENINI

HAIJAWA kwenye mwendo mzuri Klabu ya Mtibwa Sugar ndani ya msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kupata pointi tatu ugenini. Desemba 7 ikiwa ugenini imepoteza pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwa kushuhudia ubao ukisoma Namungo 1-0 Mtibwa Sugar. Bao la ushindi lilifungwa Derick Mukombozi ambapo Mtibwa Sugar ilitoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Azam…

Read More

NYOTA SIMBA AMEPEWA ONYO NA BENCHIKHA

WAKIWA na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco Desemba 9 2023 mshambuliaji Jean Baleke amepewa onyo na Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha. Ikumbukwe kwamba Simba haijapata ushindi kwenye mechi zake zote mbili hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi mbili kibindoni.

Read More

KIUNGO MGUMU KAANZA NA REKODI YAKE SIMBA

KIUNGO wa kazi ngumu, Sadio Kanoute ameanza na rekodi yake mbele ya kocha mpya, Abdelhak Benchikha kwa kuwa nyota wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano katika mchezo wa kwanza kukaa benchi. Ikumbukwe kwamba Benchikha ni mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira, mchezo wake wa kwanza kukiongoza kikosi cha Simba ilikuwa Desemba 2, alishuhudi ubao ukisoma…

Read More

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond Desemba 8 ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Ni Joyce Lomalisa huenda akakosekana baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Gamondi ameweka wazi kuwa kuna nyota wawili ambao watabeba mikoba…

Read More