>

BOSI YANGA ANUNUA KESI YA WAARABU WA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu katika Ligi ya Mabingwa Afrika ni kupata pointi tatu kwenye kila mchezo ikiwa ni pamoja na Waarabu wa Misri, Al Ahly. Ikumbukwe kwamba Al Ahly waliwafungashia virago Simba kwenye African Footbal League kwa faida ya mabao ya nyumbani baada ya mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Simba…

Read More

STARS YAPETA, MTUPIAJI AFUNGUKA

UKIWA ni mchezo wa ugenini kwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Novemba 18 ilifanikiwa kupeta na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Niger katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali ya Kombe la Dunia 2026. Bao pekee la mchezo huo wa kwanza kuwania kufuzu Kombe la Dunia limefungwa na Charles M’mombwa dakiak…

Read More