YANGA YAPENYA TANO CAF TIMU BORA

KLABU ya Yanga imetinga hatua ya tano bora kuwania tuzo ya klabu bora kwa wanaume kutoka CAF kwa mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika 2022/23 waligotea nafasi ya pili na katika ligi ya ndani walitwaa taji la Ligi Kuu Bara. Zama hizo ilikuwa inanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi na kwa…

Read More

TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI NIGER

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger. Stars itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi huo na imewasili salama Morocco kwa ajili ya mchezo huo kwa ndege iliyotolewa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu. Maandalizi yameanza…

Read More

YANGA WAVAMIA ALGERIA LIGI YA MABINGWA

MABOSI wa Yanga, juzi walisafiri kuelekea nchini Algeria, kwa ajili ya kuwaangalia wapinzani wao CR Belouizdad waliongozana na mchambuzi wa video, Khalil Ben Youssef. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana Novemba 24, mwaka huu katika mchezo wa Kundi D wa Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa nchini Algeria. Yanga imepania kufanya vema katika michuano hiyo ya kimataifa msimu…

Read More

AZIZ KI MASTA ANA BALAA HUYO TATU BORA

AZIZ KI kiungo wa Yanga ni kiboko yao kwa makipa wote namba moja ndani ya timu zilizo tatu bora kwa kuwa kawatungua kwenye mechi za ligi walipokutana. Nyota huyo katupia jumla ya mabao saba kibindoni akiwa na pasi moja ya bao kwa msimu wa 2023/24 ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Kwenye…

Read More

KIMATAIFA SIMBA YATANGAZA WAGENI RASMI NA KAZI KUANZA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wapo tayari na mashabiki watakuwa ni wageni rasmi kwenye mchezo huo. Ipo wazi kwamba ni Roberto Oliveira na pira papatupapatu alikiongoza kikosi hicho kutinga hatua ya makundi kwa sasa hatakuwa na timu hiyo baada ya kusitishiwa mkataba…

Read More