RASMI Roberto Oliviera aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba amefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na timu hiyo pamoja na kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Timu hiyo itakuwa chini ya Daniel Cadena akishirikiana na Seleman Matola.
Timu hiyo itakuwa chini ya Daniel Cadena akishirikiana na Seleman Matola.