>

YAO BABA LAO KUELEKEA KARIAKOO DABI

MWAMBA Yao Attohoula ni baba lao kuelekea Kariakoo Dabi kwa upande wa kutengeneza pasi za mabao kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ni Novemba 5 watani hao wa jadi wanatarajiwa kumenyana kwenye msako wa pointi tatu, Uwanja wa Mkapa. Katika nyota wenye pasi nyingi za mabao kwa watani hawa wa jadi, Yao ambaye ni beki…

Read More

ANZA VIZURI NOVEMBA YAKO NA MAOKOTO, WIKENDI YA USHINDI

Ndugu mteja mwezi Novemba tayari umeanza na leo hii mechi mbalimbali zitachezwa huku Meridianbet wakiwa tayari wamekuwekea machaguo uyapendao. Unajua kuwa kuwa Milionea ni kitu rahisi kama ukituliza akili yako kwa kusuka jamvi na Meridianbet?. Timiza ndoto zako hapa wakati ndio huu. LALIGA kuna mechi moja ya pesa leo ambayo ni kati ya Las Palmas…

Read More

MATAJIRI 8 WAITANA YANGA FASTA

YANGA wanaonekana kuutaka mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada ya Kamati ya Mashindano ya timu hiyo, yenye watu nane imepanga kukutana leo Jumatano kwa ajili ya kuweka mikakati ya ushindi kuelekea mchezo huo. Dabi hiyo inatarajiwa kuzikutanisha timu hizo kongwe za Simba dhidi ya Yanga ambayo itapigwa Jumapili hii saa 11 jioni kwenye Uwanja wa…

Read More

YANGA NA SIMBA ZAKOMBA TUZO

WAKATI ikiwa ni presha ya kuelekea Kariakoo Dabi inayotarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 5 2023 Yanga na Simba zimesepa na tuzo. Ni tuzo ya mchezaji bora ambayo imekwenda Yanga kwa nyota Aziz KI akiwashinda wachezaji wenzake alioingia nao fainali ikiwa ni Maxi Nzengeli wa Yanga na Moses Phiri wa Simba. KI kwa Oktoba alikuwa…

Read More

KUNA MAISHA BAADA YA DABI

MAISHA lazima yaendelee bila kujali jambo gani gumu ama jepesi litakutokea kwa wakati huo. Kikubwa kwa sasa kuelekea Kariakoo Dabi wachezaji kutambua kwamba kuna maisha baada ya mchezo huo. Muhimu kwa kila mmoja kutambua ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri. Kutimiza majukumu yake uwanjani kwa kucheza bila hofu. Haya yote yatawezekana ikiwa kila mmoja ataongeza…

Read More

SKUDU AFUNGUKIA JAMBO LAKE NA GAMONDI

SKUDU Makudubela nyota wa Yanga ameweka wazi kuwa hana tatizo lolote na benchi la ufundi la timu hiyo linalonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Nyota huyo ambaye ni ingizo jipya ndani ya Yanga akitokea Marumo Gallants hajawa na nafasi kikosi cha kwanza kutokana na ushindani wa namba uliopo ndani ya timu hiyo. Mbali na ushindani…

Read More

KWAKO PILATO WA KARIAKOO DABI

TIMU zenye kiwango bora zaidi kwa Ukanda wa Afrika Mashariki kwa kipindi cha misimu saba sasa, ni Simba na Yanga. Simba imesumbua kwa muda mrefu, hasa kimataifa, wamekuwa wawakilishi wazuri wa Tanzania na Afrika Mashariki yote. Mwendo wa Simba, umefanya soka la Tanzania taratibu kupata heshima kubwa kimataifa na ile heshima waliyowahi kuwa nayo Ethiopia…

Read More

BEKI WA KAZI YANGA AWAITA MASHABIKI KWA MKAPA

DICKSON Job beki wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba. Novemba 5 2023 Uwanja wa Mkapa, Simba watakuwa wenyeji wa Yanga katika msako wa poiñti tatu muhimu. Job ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi amesema wanatambua umuhimu wa mchezo huo watapambana. “Tuntambua umuhimu…

Read More