MTAMBO WA MABAO YANGA WATUMA SALAMU MSIMBAZI

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Maxi Nzengeli amesema kuwa wapo tayari kuelekea mchezo wao wa Karikoo Dabi dhidi ya Simba huku akiwaomba mashabiki wajitokeze kuona burudani. Ndani ya kikosi cha Yanga Nzengeli ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi akiwa kakomba dakika 489. Katupia mabao matano na pasi moja ya…

Read More

KARIAKOO DABI IWE YENYE NIDHAMU NA UBORA

KARIAKOO Dabi ipo karibu ambapo kila timu kwa sasa inafanya maandalizi kupata matokeo mazuri. Kikubwa ambacho kinatakiwa ni umakini kwenye kila hatua. Maandalizi mazuri kwa kila timu kwa sasa ni jambo ambalo linahitajika ili kupata matokeo mazuri. Mashabiki wanapenda kuona timu yao inashinda hilo lipo wazi. Si wao tu hata wachezaji furaha yao ni kupata…

Read More

LUIS BADO ANAENDELEA KUJITAFUTA

TAYARI ameanza kurejea katika hesabu za rekodi lakini maamuzi bado anajitafuta kufikia ubora wake wa 2021 aliposepa ndani ya kikosi hicho na kujiunga na Al Ahly ya Misri. Kukaa muda mrefu bila kucheza ni sababu iliyofanya kiwango chake kikaporomoko kwa kasi. Yule Luis Miquissone mwenye kasi ya haraka na maamuzi akiwa nje ama ndani ya…

Read More