
KIUNGO WA KAZI BADO YUPO SANA KWA MATAJIRI WA DAR
KIUNGO wa kazi Yahya Zaid bado yupo sana ndani ya kikosi cha matajiri wa Dar Azam FC bado yupo sana kwenye kikosi hicho. Nyota huyo ameongeza dili la miaka miwili kuendelea kuwa ndani ya kikosi hicho. Mwamba ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026. Kasi ya Azam FC kwa msimu wa 2023/24…