CIRCUS FEVER DELUXE SLOTI YA UTAJIRI

Sloti ya Circus Fever Deluxe Kuna michezo mingi inafurahisha na mingine unapoicheza inakuingizia hela, kwenye miaka ya nyuma Sanaa ya maonyesho majukwaani ilikuwa inafanya vizuri sana, Kasino ya mtandaoni Meridianbet inataka kukurudisha nyuma mpaka miaka ya 2000s kupitia sloti ya Circus Fever Deluxe. Sloti ya Circus Fever Deluxe ina mtindo kama wa mazingaombwe lakini kuna…

Read More

FUPA LILILOMSHINDA MTANI, MIKONONI MWA MNYAMA

MBINU za makocha wawili zitakuwa kazini leo kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa. Ni Roberto Oliveira wa Simba dhidi ya Moses Basena wa Ihefu. Oliveira ameliambia amesema kuwa wanahitaji pointi tatu kama ambavyo Basena mrithi wa mikoba ya Zuber Katwila naye anahitaji kuona wakikomba pointi hizo muhimu. Hapa tunakuletea…

Read More

MZUNGUKO WA KWANZA HESABU KUBWA ZINAHITAJIKA

WAKATI wa mavuno kwa timu shiriki Ligi Kuu Bara na Championship ni mzunguko wa kwanza. Hapa timu ambazo zinafanikiwa kuanza kwa hesabu kubwa huwa zinamaliza vizuri. Kikubwa ambacho kinawafanya wamalize vizuri ni ule mwendelezo wa kujiamini. Kushinda mchezo mmoja kunaongeza hali ya kuendelea kupambana kwa ajili ya mechi inayofuata. Licha ya kwamba mchezo wa mpira…

Read More

AZAM FC DAKIKA 180 NI MATESO

NDANI ya dakika 180, ukuta wa Azam FC umeruhusu mabao sita katika mechi za Ligi Kuu Bara. Ilianza dhidi ya Yanga 3-2 Azam FC huku mabao yote Kwa Azam FC yalifungwa na Aziz KI. Oktoba 28 2023 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 1-3 Namungo FC. Mabao ya Namungo FC yalipachikwa na…

Read More

BOSI SIMBA ATUPA KOMBORA YANGA SC

MARA baada ya kuondolewa na Al Ahly ya nchini Misri katika michuano ya African Football League (AFL), Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kuwa sasa hivi akili zao wanazielekeza katika Ligi Kuu Bara na kikubwa kurejea kileleni. Kauli hiyo huenda ikawa kijembe kwa wapinzani wao, Yanga ambao wanaongoza ligi wakiwa na…

Read More

STRAIKA WA MABAO HANA FURAHA SIMBA

HABARI mbaya kwa mashabiki wa Simba zinadai kuwa mshambuliaji wao raia wa Zambia, Moses Phiri hana furaha ndani ya timu hiyo na huenda akaondoka kikosini hapo kama mambo yataendelea kuwa magumu kwake. Phiri ndani ya Simba amekuwa na wakati mgumu kutokana na kushindwa kupata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Msimu…

Read More