URAHISI WA MAISHA NI KUCHEZA BLACKJACK LIVE

Mchezo wa Blackjack Live        Watengenezaji wa michezo ya kasino mtandaoni Expanse Studios, inakuletea mchezo rahisi kucheza na kushinda kupitia Meridianbet Kasino Mtandaoni, ukikutana na wachezaji wa Karata bila shaka watakutajia na huu mchezo kuwa ni pendwa Zaidi kwa wengi. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwa kutumia kibunda chenye…

Read More

JEMBE AWEKA REKODI HII FIFA

MHARITI Mtendaji wa Group Group, Saleh Ally, maarufu kama Salehjembe, ameandika rekodi nchini ya kuwa mwandishi wa kwanza kupiga kura mara nne mfululizo katika tuzo za The Best FIFA Football Award. Hali hiyo inaoonyesha uaminifu mkubwa kutoka Fifa yenye makao yake makuu nchini Uswiss. Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limemchagua kwa mara nyingine tena…

Read More

GAMONDI: TUTAWAFURAHISHA CAF NA KUPATA USHINDI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuwatambua wapinzani wao katika hatua ya makundi watacheza kwa kutafuta ushindi na kuwafurahisha mashabiki. Makundi CAF yalipangwa Oktoba 6 Afrika Kusini na Yanga ikipangwa kundi D ikiwa na timu za Al Ahly ambao ni mabingwa watetezi, CR Belouizdad ya Algeria,…

Read More

KAZI KIMATAIFA NI KUBWA MIPANGO MUHIMU

BAADA ya makundi kupangwa kwa sasa ni muda wa kuanza kufanya maandalizi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi za ushindani. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika hakuna kubeba matokeo mfukoni wala kuamini kwamba uzoefu utawabeba katika kupata ushindi hilo halipo. Kuanza kubeba matokeo wakati huu na kujipeleka hatua ya robo fainali anguko linakuja. Hakuna…

Read More