GEITA GOLD WAPOTEZA MBELE YA YANGA

GEITA Gold wamepishana na pointi tatu kwa mara nyingine kwenye mchezo wa pili mfululizo baada ya kupoteza mbele ya Yanga. Mchezo uliopita Geita Gold ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Nyankumbu ukisoma Geita Gold 1-2 KMC. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo wa leo Oktoba 7 ubao wa Uwanja wa Kirumba umesoma Geita Gold 0-3 Yanga….

Read More

NGOMA NYINGINE KWA MTIBWA SUGAR HII HAPA

KETE inayofuata kwa Mtibwa Sugar kwenye Ligi Kuu Bara ni dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine ikiwa ni mzunguko wa kwanza. Ikumbukwe kwamba Mtibwa Sugar yenye Yassin Mustapha imetoka kupoteza kwenye mchezo uliopita dhidi ya Singida Fountain Gate. Tanzania Prisons nao wametoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba walipokuwa nyumbani.

Read More

CCM KIRUMBA: GEITA GOLD 0-3 YANGA

UWANJA wa CCM Kirumba ubao unasoma Geita Gold 0- 3 Yanga ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni dakika ya 44 Pacome Zouzoa alianza kupachika bao na lile la pili ni mali ya Aziz KI dakika ya 45. Mpaka mapumziko  kwenye mchezo huo wa mpira uliokuwa na ushindani mkubwa Yanga walikuwa wanashambulia kwa kasi…

Read More

FULL MKOKO WA GAMONDI KUSAKA POINTI TATU ZA GEITA

MIGUE Gamondi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Geita Gold ameanzisha kikosi kazi kamili kusaka pointi tatu mbele ya Geita Gold. Kwenye mchezo wa nne, ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa Yanga kupoteza msimu wa 2023/24. Kulikuwa na mabadiliko kikosi cha kwanza ambapo wachezaji waliopewa…

Read More

WAAMUZI HAKI MUHIMU KUZINGATIA KWENYE MAAMUZI

TARATIBU dawa inazidi kuingia kwenye kidonda ambacho kinaendelea kupona. Licha ya kuendelea kwa maumivu ambayo mgonjwa anapata bado inatakiwa umakini kwenye uangalizi. Ni mzunguko wa kwanza wenye ushindani mkubwa kwa kila timu kuonyesha shauku ya kupata ushindi. Ipo wazi kwamba hakuna anayependa kupoteza mchezo na kasi inaonekana. Kwa namna kasi ilivyo basi ni muhimu kwa…

Read More

PARIMATCH YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KIBABE

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeunganana na watoa huduma ulimwenguni kote kusherehekea Wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi na zenye ubunifu kwa wateja wake ili kuongeza burudani pindi wanaposuka mikeka yao kwenye tovuti na App. Akitoa salamu za heri kwa wateja na wafanyakazi wa kampuni hiyo jijini Dar…

Read More

GAMONDI ATAJA KINACHOWAUMIZA YANGA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema miongoni mwa sababu zikizowafanya wakapoteza dhidi ya Ihefu ni Uwanja wa Highland Estate ambao haukuwa katika viwango. Mateso ya kupoteza pointi tatu walikumbana nayo wachezaji na benchi la ufundi ugenini mara ya Kwanza msimu wa 2023/24. Kocha huyo ameweka wazi kuwa wachezaji walikwama kutulia uwanjani na kucheza mpira…

Read More

AZAM FC WAKOMBA POINTI MKWAKWANI, FEI AWAKA

WAKIWA ugenini, Azam FC imekomba pointi tatu mazima dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bao la ushindi limefungwa na Feisal Salum, dakika ya 45 kwa pigo akiwa ndani ya 18 kutokana na makosa ya safu ya ulinzi ya Coastal Union. Ni bao la nne kwa Fei Toto ambaye alifungua akaunti…

Read More