BANGALA MAJANGA AZAM FC

NI Yannick Bangala kiungo wa Yanga hatakuwa kwenye mchezo ujao wa timu hiyo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bangala amechanika msuli wa nyuma ya paja, kwenye mchezo wa jana Jumanne dhidi ya Dodoma Jiji. Baada ya mechi hiyo, Bangala alirudi Dar Es Salaam kwa vipimo zaidi, wakati timu ikielekea Tanga…

Read More

LIGI KUU BARA: IHEFU 1-1 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Highland Estate katika dakika 45 za mwanzo umekuwa ni sawa kwa timu zote mbil. Ni Ihefu 1-1 Yanga wababe hawa wakiwa kwenye msako wa pointi tatu. Lenny Kisu amefunga bao la kwanza dhidi ya Yanga dakika ya 40 kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwa ilikuwa bado haijafungwa. Ni Pacome Zouzoua kapachika…

Read More

UBORA WA AZAM FC ULIFICHWA NAMNA HII DODOMA

KOCHA msaidizi wa Dodoma Jiji, Kassim Lyogope amesema kuwa ubora wa Azam FC upo kwenye viungo na hapo walipambana kuwabana wasipige pasi ndefu Kwa washambuliaji. Ni Idris Mbombo alikuwa miongoni mwa washambuliaji waliopata nafasi ya kuonyesha makeke yake Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Dodoma Jiji 0-0 Azam FC hivyo wakagawana pointi…

Read More

TATIZO LA SIMBA LIPO HAPA, KOCHA AFUNGUKA

WAKIWA katika maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons Oktoba 5, tatizo la ubora wa wachezaji wa Simba limeanza kuwatesa mapema. Wapo baadhi ya wachezaji hawana nafasi kabisa kikosi cha kwanza ikiwa ni pamoja na Chilunda hii ni kutokana na kutokuwa fiti, Henock Inonga, Aubin Kramo na Aishi Manula. Luis Miqussone…

Read More

MPANGO WA RATIBA UHESHIMIWE, MALALAMIKO INATOSHA

MPANGILIO wa ratiba ambayo inapangwa na Bodi ya Ligi Tanzania umekuwa ukienda kwa kasi kutokana na mashindano ambayo yapo. Tunaona mzunguko wa tatu umekwenda kwa umakini na kilatimu kukamilisha majukumu yake. Ni mzunguko wa nne sasa huku kila timu ikipambana na hali yake. Jambo la msingi kwa wachezaji na benchi la ufundi kuwa tayari kwa…

Read More