YANGA YAIPIGA MKWARA MWINGINE SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kushindwa kupata ushindi dhidi ya watani zao wa jadi ni mwanzo wa kulipa kisasi wakikutana kwenye mchezo wa ligi. Chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Agosti 13 ilishuhudia ikivuliwa taji la Ngao ya Jamii na watani wa Jadi Simba waliopata ushindi wa penalti 3-1 kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa…

Read More