HII HAPA REKODI YA SIMBA MPYA

SIMBA mapema tu ilikamilisha lengo la kuandika rekodi mpya ikiwapoteza watani zao wa jadi Yanga katika tamasha lao. Simba ilikuwa ni Agosti 6 2023 iliandika rekodi hiyo kwenye tamasha la Simba Day ikiwa ni tamasha lililokusanya mashabiki wengi nje na ndani ya uwanja. Kutokana na jambo hilo Simba inayonolewa na Kocha Muu, Roberto Oliveira ilikamilisha…

Read More

MUHIMU KULINDANA KWA WACHEZAJI HIVYO TU BASI

MUDA mrefu ambao wachezaji wameutumia kwenye maandalizi ya msimu mpya sasa unakwenda kuonyesha matokeo yake uwanjani. Ni Ngao ya Jamii inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa timu nne kushiriki kuanzia hatua ya nusu fainali ya kwanza ambapo Yanga, Azam FC, Singida Fountain Gate na Simba hizi ni timu shiriki. Mchezo wa nusu fainali ya…

Read More

LEGEND MKUDE DAKIKA MOJA KAAGWA SIMBA

LEGEND Jonas Mkude ameaagwa na mabosi zake wa Simba kwa muda wa dakika moja baada ya kujiunga na Yanga. Mkude ni ingizo jipya ndani ya Yanga akiungana na viungo wengine ikiwa ni Aziz KI, Zawad Mauya ambao walikuwa katika kikosi cha Yanga kilichotwaa ubingwa msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba Mkude alidumu ndani ya Simba kwa…

Read More