MORRISON, BANGALA WATAJWA SINGIDA FOUNTAIN GATE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umesema kuwa wanatamani kuwa na kiungo Mkongomani Yannick Bangala na Mghana Bernard Morrison kwa ajili ya msimu ujao huku ukipanga kuweka wazi kila kitu hivi karibuni. Wachezaji hao wanahusishwa kutua Singida Fountain Gate kwa ajili ya msimu ujao ambao wanacheza Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga tayari imetangaza kuachana na Morrison…

Read More

ISHU YA CHAMA KUIBUKIA YANGA BOSI AFUNGUKA

WAKATI Clatous Chama akiwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Yanga, Simba wameweka wazi kuwa hawana tatizo ikiwa watapata ofa nzuri kutoka kwa watani zao hao wa jadi. Ikumbukwe kuwa, Chama ambaye ni mali ya Simba, ni kinara kwenye kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 alipotengeneza pasi 14,…

Read More

ONYANGO KUANDALIWA UTAMBULISHO MAALUMU

UONGOZI wa Singida Fountian Gate umeweka wazi kuwa unaandaa utambulisho rasmi kwa nyota wao wote wapya ikiwa ni pamoja na Joash Onyango. Timu hiyo imeanza maandalizi kuelekea msimu wa 2023/24 na inatarajia kuweka kambi Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya. Miongoni mwa wachezaji ambao wamesajiliwa na Singida Fountain Gate ni pamoja na Yahya…

Read More

SABABU ZA KOCHA MPYA KMC ZATAJWA

UONGOZI wa KMC umebainisha kuwa ujana ni moja ya sababu zilizompa kazi Abdi Hamid Moallini ambaye ametambulishwa kuwa kocha mpya wa KMC rasmi Julai 12 2023. Mstahiki Meya ya Kinondoni, Songoro Mnyonge Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya KMC amesema kuwa miongoni mwa vigezo vilivyowafanya wakamchagua kocha huyo ni pamoja na ujana. KMC ni mashuhuda…

Read More

JUMA MGUNDA NA SIMBA KUNA KITU

UPO uwezekano mkubwa wa Simba kuendelea na kocha wake msaidizi, Juma Mgunda katika msimu ujao licha ya usiri mkubwa ulikuwepo kati yake na mabosi wa timu hiyo. Mgunda hakuwakatika msafara wa timu hiyo, uliosafiri kwenda nchini Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki tatu kujiandaa na msimu ujao. Kocha huyo mzee wa ball itembee ni…

Read More

MSHAMBULIAJI HUYU MLANGONI YANGA

INAELEZWA kuwa Sudi Abdallah, ambaye ni raia wa Burundi, ndiye straika mpya anayekuja Yanga kurithi mikoba ya Mayele anayeondoka kwenda kucheza kwenye moja ya klabu huko Saudi Arabia. Sudi mara ya mwisho Januari 12, 2023, aliuzwa na Klabu ya Al-Naft SC  ya nchini Iraq ambapo Julai 5 alijiunga na Klabu ya Kuching City ya nchini…

Read More

MAYELE ANASEPA YANGA, ISHU IPO HIVI

UNAAMBIWA sasa ni rasmi kuwa mshahara wa milioni 50 aliopewa Fiston Mayele unamhalalisha hatakuwa mchezaji tena wa Yanga msimu ujao baada ya kuomba kwenda kukipiga nchini Saudi Arabia huku Yanga wakilambishwa zaidi ya Bilioni 1.2 kama dau la usajili. Mayele alijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili kisha akaongezwa mmoja mwaka jana akitokea As…

Read More

UZI WA SIMBA KUZINDULIWA KILELENI, KILIMANJARO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa uzi mpya wa msimu wa 2023/24 upo tayari na utazinduliwa Kilimanjaro. Kikosi cha Simba kimeweka kambi Uturuki na kwa sasa maandalizi kuelekea msimu mpya yanaendelea ikiwa ni pamoja na suala jezi mpya. Ipo wazi kuwa watani zao wa jadi Yanga wao uzi upo mtaani baada ya uzinduzi wao kukamilika….

Read More

ALIYEWATUNGUA YANGA AONGEZEWA NGUVU

MTAALAMU wa mapigo huru ndani ya kikosi cha Ihefu FC Nivere Tigere bado yupo ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Ihefu ni timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu wa 2022/23 ndani ya Ligi Kuu Bara. Hiyo iliandikwa rekodi baada ya Yanga kucheza mechi 49 mfululizo bila kufungwa. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa…

Read More

VIGOGO WA KARIAKOO WAMEDUWAZWA MJINI

UONGOZI wa Dodoma Jiji umeweka wazi kuwa umetibua mipango ya vigogo wa Kariakoo ikiwa ni pamoja na Simba na Yanga zilizokuwa zinaiwinda saini ya Mtenje Albano. Vigogo hao wameduwazwa kwa kushuhudia saini ya nyota Albano ikiwa ndani ya Dodoma Jiji kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Rasmi ni mchezaji halali wa Dodoma…

Read More

HILI HAPA JEMBE JIPYA YANGA

MIAKA miwili kasaini mwamba Yao Kouas Attouhula akitokea Klabu ya ASEC Mimosa kuwa ndani ya Klabu ya Yanga. Ikumbukwe kwamba timu hiyo aliwahi kucheza Aziz Ki ambaye ni kiungo wa Yanga anayevaa jezi namba 10. Huyu anakuwa nyota watano kusajiliwa ndani ya Yanga baada ya Nickson Kibabage, Gift Fred,Jonas Mkude na Maxi Mpia Yeye ni…

Read More

ISHU ZA KISHIRIKINA ZISIPEWE NAFASI

TUKIWA tunaelekea kuanza msimu mpya wa mashindano imegeuka hali ya mazoea hivi sasa kwenye Ligi Kuu Bara na ligi za madaraja ya chini kila baada ya mizunguko kadhaa tumeshuhudia baadhi ya timu zikilimwa faini mbalimbali kutokana na vitendo vya kishirikina. Hali hii imegeuzwa mazoea na hii ni kutokana na adhabu ambazo zinatolewa huenda haziziathiri timu…

Read More

MWAMBA ALIYEKUWA ANAWINDWA NA YANGA NI MNYAMA

RASMI Fabrice Ngoma ambaye ni kiungo ametambulishwa kuwa mali ya Simba. Nyota huyo anakuja kuungana na wachezaji wengine kwa ajili ya kupambania malengo ya msimu wa 2023/24 na timu imeweka kambi Uturuki akijua kuwa ubingwa msimu wa 2022/23 upo kwa Yanga. Alikuwa anatajwa kuwa kweye rada za Yanga pamoja na Azam FC ila Simba wanatajwa…

Read More

KAZI KUBWA NI MUHIMU IFANYWE KWA UTULIVU

IPO wazi kuwa kila timu kwa sasa ipo chimbo ikifanya kazi kubwa kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Tunaona Azam FC wapo tayari wapo kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na kazi yao ya kwanza itakuwa kwenye nusu fainali Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Simba nao wapo kambini na…

Read More