VIINGILIO VYA SIMBA DAY HIVI HAPA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa siku ya Simba Day ni sikukuu hivyo hawapangi viingilio vikubwa kuwakomoa mashabiki wao. Agosti 6 ni Simba Day ikiwa ni siku ya utambulisho kwa wachezaji pamoja na benchi jipya la ufundi pamoja na lile lililokuwa na timu msimu wa 2022/23. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano…

Read More

GAMONDI AMEANZA POA LAKINI MUMVUMILIE

Anaandika Jembe KIKOSI kipya cha Yanga kimeanza vizuri katika mechi yake ya kwanza kabisa kwa msimu mpya wa 2023/24 ikiwa ndio wanakionyesha kikosi chao wakati wa kilele cha tamasha la Mwananchi. Bado hawajaanza mashindano rasmi lakini tayari angalau tumeona kikosi hicho kipya cha Yanga kinacheza namna gani. Kocha Mkuu mpya wa Yanga, Miguel Gamondi ambaye…

Read More

WENGINE KUUZWA SIMBA BAADA YA SAKHO

BAADA ya kumuuza Pape Sakho Simba wamesema kuwa mchezaji yoyote yule watamuuza ikiwa watapata ofa nzuri. Julai 24 timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki ilicheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Zira. Katika mchezo huo walitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2023/24. Miongoni mwa wachezaji waliopo Uturuki ni…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KUWATAMBULISHA NYOTA WAPYA

IMEELEZWA kuwa nyota watatu wanatarajiwa kutambulishwa siku ya Singida Fountain Gate ikiwa ni zawadi yao kwa mashabiki msimu wa 2023/24. Taarifa zimeeleza kuwa Singida Fountain Gate ambayo imewatambulisha baadhi ya nyota wao ikiwa ni Yahya Mbegu huku ikiwaongezea mikataba Bruno Gomes, Aziz Andambwile bado haijamaliza kusajili. “Kuna wachezaji watatu ambao hawajatajwa popote kwa sasa hao…

Read More

KOCHA YANGA ATAMBULISHWA NAMUNGO

CEDRICK Kaze aliyekuwa kocha msaidizi wa Yanga kwa sasa atakuwa Kocha Mkuu Namungo FC. Kaze alipewa mkono wa asante ndani ya Yanga baada ya msimu wa 2022/23 kugota mwisho. Sasa anaibukia ndani ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara hivyo atakuwa na nafasi ya kukutana na waajiri wake wa zamani Yanga kwenye mechi za ushindani….

Read More

PAPE SAKHO HUYO ULAYA

RASMI Simba SC imefikia makubaliano na Klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumuuza mchezaji Pape Sakho. Kiungo huyo ni miongoni mwa viungo bora wenye mambo mengi ndani ya uwanja akiwa na mtindo wa ushangiliaji wa kunyunyiza. Moja ya mabao aliyofunga ndani ya Simba ilikuwa dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya…

Read More

HAYA HAPA KUTEKA SHOW SIKU YA SINGIDA FOUNTAIN GATE DAY

MIPANGO mikubwa ndani ya Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara inaendelea ikiwa ni pamoja na siku maalumu ya utambulisho wa wachezaji wao pamoja na benchi la ufundi. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 ilikuwa inaitwa Singida Big Stars na ilikuwa inatumia Uwanja wa Liti kwa mechi za nyumbani. Msimu wa 2023/24 itakuwa ni Singida Fountain…

Read More

CHAMA LA SIMBA KAMILIKAMILI UTURUKI

JULAI 23 rasmi kipa Jefferson Luis Szerban de Oliveira alitambulishwa ndani ya Simba na yupo kambini Uturuki akiwa na wachezaji wengine na kufanya chama la Simba kuwa kamili gado. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Simba walikuwa mashuhuda wa mataji yote yakienda kwa watani zao wajadi Yanga. Yanga ilitwaa taji la Ngao ya Jamii, Kombe…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE YAPANIA KUFANYA KWELI

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa utafanya kwenye anga la kitaifa na kimataifa kutokana na mipango makini iliyopo ndani ya timu hiyo inayodhamiwaniwa na SportPesa Tanzania. Singida Fountain Gate ni miongoni mwa timu zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne. Singida…

Read More

KIPA MPYA SIMBA HUYU HAPA

RASMI Klabu ya Simba imetangaza nyota Jefferson Luis raia wa Brazil kuwa kipa mpya ndani ya timu hiyo. Kipa huyo ni nyota wa 10 kusajiliwa ndani ya Simba ambayo imeweka kambi Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24. Alikuwa anacheza Klabu ya Resende FC ya Serie D ya Brazil na msimu uliopita alicheza…

Read More

VIDEO:MWALIMU YANGA AMCHAMBUA MAXI

MWALIMU Yanga amemchambua nyota mpya wa Yanga Maxi ambaye ameonekana kuwa nyota wa mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs. Katika kilele cha SportPesa Wiki ya Mwananchi Julai 22 Maxi aliupiga mwingi ndani ya dakika 45 na ubao ukasoma Yanga 1-0 Kaizer Chiefs ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki.

Read More

HII YA YANGA IMEENDA MABORESHO YANAHITAJIKA

HATIMAE SportPesa Wiki ya Mwananchi 2023 imeenda na kweli imekuwa hivyo kwa namna ambavyo walikuwa wamepanga. Mpangilio mzima wa matukio na namna ambavyo mashabiki walijitokeza kuona burudani hizo. Hatua moja kila wakati mbali na mchezo wa kimataifa wa kirafiki ambao ulikamilika kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-0 Kaizez Chiefs bado kazi imeonekana….

Read More

MSHAMBULIAJI WA SIMBA SUALA LA MUDA KUTANGAZWA

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba Charles Ilanfya anatajwa kufikia makubaliano mazuri na Ihefu muda wowote atasaini mkataba mpya na kutangazwa. Ihefu ya Mbeya ni timu ya kwanza kuifunga Yanga kwenye ligi kwa msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba wakati rekodi ya Ihefu kuifunga Yanga inaandikwa timu ya Yanga ilikuwa imecheza mechi 49 za ushindani kwenye ligi…

Read More