UZI MPYA WA SIMBA, KIBEGI KIMEFIKA KILIMANJARO KILELENI

HATIMAE ile safari ya Kibegi cha Simba imegotea kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro. Huu ni uzinduzi wa kwanza kwa Simba kufanya jambo hili kwa kuzindua uzi mpya kwenye mlima mrefu Afrika. Ikumbukwe kwamba Simba ni mabalozi wa utalii wa ndani na kwenye mechi za kimataifa wana uzi wao wenye nembo ‘Visit Tanzania’. Ni watu maalumu…

Read More

MUVI YA WANANCHI KUPORWA MCHEZAJI NA WATANI IPO HIVI

UONGOZI wa Simba umefafanua mbinu ilizotumia kuinasa saini ya kiungo Fabrice Ngoma ambaye alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za watani zao wa jadi, Yanga. Nyota huyo aliyekuwa anakipiga Al Hilal ya Sudan alitambulishwa na Simba Julai 14 na alisaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira. Yanga wanatajwa kuwa…

Read More

VIDEO:KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA KUHUSU KAIZER CHIEFS

KOCHA Mkuu wa Yanga Migueli Gamondi amezungumzia kuhusu mchezo wa kesho dhidi ya Kaizer Chiefs. Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya SportPesa Wiki ya Mwananchi ikiwa ni maalumu kwa kuwatambulisha wachezaji wapya na wale waliokuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Yanga imekamilisha usajili wa wachezaji wazawa ikiwa ni pamoja na Jonas…

Read More

MKWARA WA SIMBA ISHU YA CHAMA UPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeibuka baada ya kukamilisha suala la kiungo wake Mzambia, Clatous Chama aliyegomea kambi ya nchini Uturuki kwa kutamka kuwa hawakuwa na hofu ya nyota huyo kutimka kikosini mwao. Hiyo ikiwa ni saa chache tangu kiungo huyo afikie makubaliano na klabu na kukubali kujiunga na kambi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao iliyopo…

Read More

WALIOIVURUGA YANGA BADO WAPO SANA

NYOTA wawili walioivuruga rekodi ya Yanga kufikisha mechi 50 bila kufungwa ndani ya ligi bado wapo ndani ya Ihefu baada ya kuongezewa mkataba. Yanga ilicheza mechi 49 bila kufungwa kwenye mechi za ligi ilipokutana na Ihefu ilishindwa kupata sare ama ushindi zaidi ya kufungwa mabao 2-1 na kutibua rekodi hiyo iliyoandikwa na Yanga. Wafungaji kwenye…

Read More

SHERIA MUHIMU KUFUATWA KUEPUKA KESI

MUDA hausubiri kwa sasa ukiwa unazidi kwenda kasi tayari kwa ajili ya msimu mpya ambao upo njiani. Tunaona maandalizi kwa timu zote yanaendelea ikiwa ni pamoja na Namungo ambao wamezindua uzi wao mpya. Yanga wao walitangulia mapema na mazoezi wameanza wakiwa na tamasha la SportPesa Wiki ya Mwananchi, Julai 22 Uwanja wa Mkapa. Singida Fountain…

Read More