MTU TATU NDANI YA SIMBA, KULA CHUMA

MTU tatu kwa mpigo zimetambulishwa ndani ya Simba rasmi baada ya kusaini dili jipya kuwa kwenye familia ya Msimbazi. Ni leo Julai 20 watatu wametangazwa kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Roberto Oliveira. Ni kiungo Idd Chilunda ambaye alikuwa ndani ya Azam FC lakini hakuongezewa mkataba wake kwa sasa…

Read More

CHEKI JONAS MKUDE NAMNA ALIVYOANZA KAZI

KIUNGO mpya wa Yanga, Jonas Mkude ameanza kazi kuelekea msimu mpya wa 2023/24. Safari huu Mkude mzawa mwenye uwezo eneo la kiungo atakuwa na uzi wa Yanga baada ya kuibuka hapo akiwa huru. Nyota huyo alipewa mkono wa asante na Simba timu ambayo amecheza kwa muda wa miaka 13 kwenye soka la ushindani na kujiunga…

Read More

YANGA HAWANA JAMBO DOGO BALAA LAO LINAENDELEA

NYOTA kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Pacome Zouzoua ni mali ya Yanga. Nyota huyo ametambulishwa kuwa ni njano na kijani Julai 19,2023. NI miongoni mwa nyota wa Yanga wanaotarajiwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kaizer Chiefs. Itakuwa Wiki ya Mwananchi Julai 22 2023 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni siku…

Read More

AIR MANULA MDOGOMDOGO ANAREJEA

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa namba moja wa Simba taratibu anazidi kurejea kwenye uimara wake baada ya kuwa kwenye mwendelezo wa matiabu ya afya yake. Ikumbukwe kwamba kipa huyo ni chaguo namba moja la Kocha Mkuu, Roberto oliveira hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza Kariakoo Dabi ya mzunguko wa pili ni mikono ya kipa namba tatu…

Read More

MWAMBA MWINGINE AMETAMBULISHWA HUKO

UONGOZI wa Dodoma Jiji umebainisha kuwa upo sokoni kimyakimya kwa ajili ya kuboresha timu hiyo na umekamilisha usajili wa nyota Idd Kipagwile aliyekuwa Polisi Tanzania. Kwa sasa timu zote Bongo zinaendelea na usajili ikiwa ni Yanga ambayo imemtambulisha mzawa mmoja pekee Nickosn Kibabage mpaka sasa ambaye alikuwa ndani ya Singida Fountain Gate. Mbali na Yanga…

Read More

ISHU YA CHAMA, FEI TOTO NI MVURUGANO TUPU

“TUNA mikataba na bado tunahangaika. Suala la Clatous Chama limeniacha hoi. Mikataba ni kama vile haina maana Bongo. How? Tumeambiwa Chama ataenda Uturuki. Safi. Amesaini mkataba mpya? Hapana, kumbe alikuwa na mkataba. “Alitaka kuboreshewa maslahi yake. Walikuwa na makubaliano ya mdomo au katika vipengele vya mkataba? Kama kuna kiongozi mmoja alikuwa kando anavuta fegi akamwambia…

Read More