DAVID de GEA AONDOKA MAN UNITED

BAADA ya kudumu kwa muda miaka 12 ndani ya Manchester United hatimaye ameondoka ndani ya kikosi hicho. Ni David De Gea ameweka wazi kuwa wamefanikiwa mambo mengi tangu zama za Sir Alex Ferguson. Nyota huyo mkataba wake umegota mwisho msimu huu na alipewa muda wa kufikiria kusaini mkataba mpya walipokuwa kwenye mazungumzo. Anatajwa kuwa kwenye…

Read More

JOASH ONYANGO NDANI YA CHANGAMOTO MPYA

JOASH Onyango beki wa Simba rasmi kwa msimu wa 2023/24 atakuwa kwenye changamoto mpya na timu mpya ndani ya Singida. Nyota huyo mkataba wake na Simba unatarajiwa kumeguka msimu ujao na mabosi wa Simba wamefikia makubaliano ya kumtoa kwa mkopo kuelekea Singida Fountain Gate. Atakuwa ndani ya Singida Fountain Gate kwa mkopo msimu wa 2023/24…

Read More

KIUNGO MPYA AZAM FC ATOA KAULI YA KIBABE

KIUNGO mpya wa Azam FC Feisal Salum amesema kuwa anafurahia kuwa kwenye changamoto mpya ndani ya Azam FC. Ni ingizo jipya ndani ya Azam FC akitokea kikosi cha Yanga kilichotwaa ubingwa wa ligi 2022/23. Fei alipokuwa ndani ya Yanga alikuwa anavaa jezi namba sita anaendelea kuivaa pia akiwa ndani ya Azam FC. Kiungo huyo anatarajiwa…

Read More

YANGA KUSUKA KIKOSI CHA KAZI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utafanya usajili makini kwa ajili ya kuwa na kikosi imara kwa msimu wa 2023/24 kuendeleza ushindani. Ipo wazi kuwa Julai Mosi dirisha la usajili lilifunguliwa na linatarajiwa kufungwa Agosti 31 hivyo ni muda wa kuongeza nguvu ndani ya timu hiyo. Yanga tayari imeanza kufikia hatua ya kuachana na baadhi…

Read More

BEKI WA KAZI SIMBA ATAJWA KUIBUKIA SINGIDA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba Joash Onyango anatajwa kuingia kwenye rada za Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida. Jioni ya Julai 8 2023 ilikuwa ikisambaa picha iliyokuwa inamuonyesha mtu aliyefanana na Onyango akiwa ameshika mkataba wa Singida Fountain Gate. Taarifa zinaeleza kuwa picha hiyo imevujisha na mmoja ya watu wanaohusika na…

Read More

WINGA MPYA ATUMIWA TIKETI YA NDEGE NA MABOSI YANGA

FUJO za usajili zinaendelea kwa ajili ya msimu ujao ni baada ya Yanga kumtumia tiketi ya Ndege, winga wa Klabu ya AS Maniema Union ya DR Congo, Maxi Mpia Nzengeli. Nzengeli ni kati ya wachezaji ambao walikuwepo katika mipango ya kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Winga huyo…

Read More