NYASA BIG BULLETS YATOSHANA NGUVU NA YANGA

KWENYE mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru wa Malawi timu zote mbili zimetoshana nguvu kwa kutofungana. Ubao umesoma Nyasa Big Bullets 0-0 Yanga ambapo Yanga walitumia asilimia kubwa wachezaji wa timu ya vijana. Kwenye mchezo wa leo kiungo Dennis Nkane alipata maumivu yalipolekea ashindwe kuendelea na mchezo huo lakini hali yake kwa sasa…

Read More

SIMBA YATANGAZA KOCHA MPYA

RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 alipokuwa ndani ya Azam FC. Pia alishuhudia Azam FC ikipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa fainali…

Read More

NYOTA WA YANGA WATAMBULISHWA GROUP LA WhatsApp

IMEFAHAMIKA kuwa Singida Fountain Gate tayari imefanikiwa kuwasajili nyota wawili kutoka Yanga, David Bryson na Dickson Ambundo ambao tayari wametambulishwa kwa wachezaji wenzao kupitia Group la WhatsApp. Tayari Ambundo amekutana na ‘Thank You’ Yanga baada ya kutangaza kuachana nao katika msimu ujao kutokana na mkataba wake kumalizika. Chanzo cha habari kutoka kwa mmoja wa viongozi…

Read More

HIZI HAPA SABABU YA SIMBA KUWEKA KAMBI UTURUKI

SIMBA wanatarajia kwenda Uturuki kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na mashindano ya ndani ikiwemo Azam Sports Federation (FA) 2023/24. Mataji hayo yote kwa msimu wa 2022/23 yalichukuliwa na watani zao wa jadi Yanga huku Simba ikipishana na mataji yote. Yanga iligotea nafasi ya kwanza kwenye…

Read More