MAPENDEKEZO BENCHI LA UFUNDI YAFUATWE KUEPUKA LAWAMA

HEKAHEKA za usajili kuelekea msimu mpya wa mashindano kwenye Ligi Kuu Bara zimeanza baada ya msimu wa mashindano wa 2022/23 kumalizika. Ipo wazi kuwa Yanga wamefanikiwa kubeba kila kombe kwenye mashindano ya ndani kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na lile taji la Kombe la Shirikisho la Azam. Timu zote iwe zile zinazoshiriki Ligi…

Read More

YANGA NDANI YA MALAWI SALAMA SALMIN

MSAFARA wa Yanga umewasili salama leo Julai 5 2023 kwa ajili ya mchezo maalumu wanaotarajia kucheza kesho Julai 6. Timu hiyo imepewa mualiko maalumu na Serikali ya Malawi ambapo ni kwenye mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Metacha Mnata, Clement…

Read More

BREAKING:ONANA NI MALI YA SIMBA

NI Essomba Onana nyota mpya ndani ya kikosi cha Simba ukiwa ni usajili wa kwanza kutangazwa kuelekea msimu wa 2023/24. Nyota huyo amepewa dili la miaka miwili alikuwa anakipiga ndani ya Rayon Sports. Mwamba huyo anakuja kushiriki ligi ya Bongo akitokea Rwanda huku mabingwa watetezi wakiwa ni Yanga. Simba inatarajiwa kuweka kambi Uturuki kwa ajili…

Read More

YANGA HAO MALAWI KWA KAZIKAZI

MSAFARA wa Yanga leo Julai 5 umeanza safari kwa ajili ya kuelekea nchini Malawi. Timu hiyo imealikwa katika mchezo maalumu wa siku ya Uhuru ikiwa ni miaka 59 ya Uhuu wa Malawi. Julai 6 kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mchezo maalumu katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa nyota waliopo katika kikosi ni…

Read More

KMC KUPITA NA THANK YOU KWA NYOTA 11

BAADA ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa ushindi kwenye mchezo wa mtoano KMC imewaandikia mastaa 11 barua za kuwapa mkono wa Thank You. Ni Yanga wamesepa na ubingwa wa ligi kwa msimu wa 2022/23 hivyo KMC nao wanapiga hesabu za kufanya vizuri katika msimu ujao. Ipo wazi kwamba kwenye mechi waliyokutana na Yanga…

Read More

MAJEMBE MAWILI YA KAZI NDANI YA AZAM FC

MASTAA wawili wametambulishwa ndani ya Azam FC kwa ajili ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Tayari 2022/23 imegota mwisho huku mabingwa wakiwa ni Yanga waliotwaa taji hilo chini ya Nasreddine Nabi. Yanga kwa sasa inaendelea na maboresho ya timu kupambana na wapinzani wao msimu ujao ikiwa ni pamoja na Azam FC ambao…

Read More

FURAHA YA SASA IDUMU MWANZO MWISHO

KILA mmoja wakati wa usajili anaonekana kuwa na furaha akivutia upande wake kuwa usajili utakuwa bora na imara. Sio Simba, Yanga, Geita Gold mpaka Mtibwa Sugar neno ni moja watafanya usajili mzuri utakaoleta matokeo chanya. Singida Fountain Gate FC hawa wanashiriki mashindano ya kimataifa kama ilivyo Azam FC ambao wameanza kutambulisha mashine zao za kazi….

Read More