KIUNGO HUYU APEWA DILI LA MIAKA MIWILI YANGA
MUDA wowote Yanga watatangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Kiungo huyo alijiunga na Yanga katika msimu uliopita akitokea Azam FC ambayo ilivunja naye mkataba. Yanga imepanga kuiboresha safu hiyo ya kiungo kwa ajili ya msimu ujao ambao wanakwenda kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika. Taarifa zinaeleza kuwa Yanga wamefikia…