MBEYA CITY MAMBO MAGUMU NGOMA MPAKA CHAMPIONSHIP

LICHA ya mashabiki wa Mbeya City kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Sokoine mambo yamekuwa magumu kwa timu hiyo kusalia ndani ya Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Mbeya City 0-1 Mashujaa kutoka Kigoma wakipeta kwa ushindi wa jumla ya mabao 1-4. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Kigoma ubao ulisoma Mashujaa 3-1 Mbeya…

Read More

BREAKING:KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA

RASMI Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina ametangazwa kuwa kocha mpya wa Yanga. Kocha huyo anachukua mikoba ya Nasreddine Nabi ambaye amefikia makubaliano ya kutongeza mkataba na timu hiyo. Nabi kwa misimu miwili aliyokuwa na kikosi cha Yanga ameiongoza kutwaa mataji mawili ya ligi mfululizo pamoja na kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho…

Read More

WANNE PANGA LIMEWAKUTA YANGA

MASTAA wanne wameachwa mazima ndani ya kikosi cha Yanga kuelekea kwenye mpango kazi wa kuunda kikosi kipya kwa msimu wa 2023/24. Juni 23 beki Abdallah Shaibu, ‘Ninja’ anafikisha idadi ya nyota wanne ambao hawatakuwa kwenye kikosi hicho kilichotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23. Taarifa rasmi kutoka Yanga imeeleza kuwa: “Tunamshukuru Abdallah Shaibu (Ninja) kwa…

Read More

UWE MKUTANO UTAKAOLETA MATOKEO MAZURI

NGOJANGOJA huumiza tumbo imekuwa hivyo na itabaki kuwa hivyo kwa kile ambacho kinapatikana ni lazima kugawana kwa haki bila upendeleo. Mawazo mazuri ambayo yanakusanywa ni muhimu kufanyiwa kazi hasa ukizingatia kila kitu ambacho kinafanyika kinaanzia kwenye mpango kazi wa fikra. Ipo hivi Wanachama wa Yanga wanatarajia kufanya mkutano mkuu ambao huo upo kwa mujibu wa…

Read More

ORODHA YA MASTAA THANK YOU YAONGEZEKA

GADIEL Michael beki wa kushoto wa kikosi cha Simba msimu wa 2022/23 mkataba wake umegota mwisho na mabosi wa timu hiyo wamempa mkono wa asante. Beki huyo mzawa aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Yanga 2019/20 ambapo amedumu kwenye kikosi hicho kwa misimu mitatu. Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23…

Read More