>

MWAMBA HUYU ANGA ZA CHELSEA

INAELEZWA kuwa Chelsea wamefanya mazungumzo juu ya kumsajili kiungo wa Sporting Lisbon Manuel Ugarte kwa ajili ya kupata saini yake. Nyota huyo dau lake linatajwa kuwa na kipengele cha kuachiliwa kwa gharama ya Pauni 60. Mkataba wa Ugarte unamalizika 2026 na Kocha Mkuu wa Sporting Ruben Amorim amekiri itakuwa vigumu kuwabakisha wachezaji kama Ugarte kufuatia…

Read More

MASTAA AZAM FC KWENYE DOZI MAALUMU

MASTAA wa Azam FC wameendelea na program maalumu kwa ajili ya kuwakabili wapizani wao Wagosi wa Kaya, Coastal Union kwenye mchezo wao ujao wa ligi. Kwenye uwanja huo Azam FC wanatarajiwa pia kucheza mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Yanga mchezo unaotarajiwa kuchezwa Juni 12. Yanga ni mabingwa watetezi walitinga fainali kwa…

Read More