YANGA HESABU KWENYE FAINALI KIMATAIFA

BAADA ya kukamilisha mchezo wao wa hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation msafara wa Yanga umerejea salama Dar wakianza hesabu kwenye mchezo wao wa kimataifa. Ni Mei 21 kikosi kilikuwa Uwanja wa Liti, Singida na ubao ulisoma Singida Big Stars 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi lilipachikwa kimiani na Fiston Mayele ambaye aliingia…

Read More

AZAM FC WANA TAJI MOJA MKONONI LIKIYEYUKA NDO BASI TENA

HAKUNA Prince Dube, hakuna Ayoub Lyanga hata Abdul Suleiman, ‘Sopu’ naye ndani ya kuwania tuzo za Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Wakati mwingine tuzo huwa zinakuwa ni kipimo cha ubora na muda mwingine ni kipimo cha kuongeza hasira za mapambano. Haina maana kwamba wachezaji wa Azam FC hawana ubora haina maana kwamba waliotajwa kwenye…

Read More

UTATU HUU SIMBA UNA BALAA ZITO

UTATU wa nyota watatu ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira una balaa kutokana na kasi yao kwenye kufunga na kutengeneza nafasi za mabao. Ipo wazi kuwa Yanga ni mabingwa wakiwa na pointi 74 kibindoni na kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele mwenye mabao 16. Nyota Mayele amekuwa kwenye ubora ndani…

Read More

JOB NI MVUJA JASHO KINOMANOMA

BEKI mzawa Dickson Job ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi ya kuwa mvuja jasho namba moja kwa wachezaji katika eneo la ukabaji. Nyota huyo kacheza mechi 22 akivuja jasho ndani ya dakika 1,890 kwenye kuipambania nembo ya jezi ya Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara. Job kutoka zilipo safu za milima ya Uluguru…

Read More