>

KAZI YA VIGONGO VYA YANGA MACHI

NI Machi Mosi 2023 ikiwa ni ukurasa mwingine ambao unaanza kufunguliwa kwa sasa. Yanga wao wana kazi kwenye anga la kitaifa na kimataifa na wana vigongo vya kucheza kusaka ushindi. Hivi hapa vigongo vya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ndani ya Machi zipo namna hii:- Yanga v Prisons Machi 3 huu ni mchezo…

Read More

VIGONGO VYA SIMBA MACHI HIVI HAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wakiwa hatua ya makundi wana kazi kubwamwezi huu mpya. Hivi hapa vigongo vya Simba ndani ya Machi kwenye mechi za mashindano kitaifa na kimataifa namna hii:- Machi 2, Uwanja wa Uhuru ni Simba v African Sports mchezo wa hatua ya 16 bora…

Read More

YANGA WANAPIGA HESABU ZA ROBO FAINALI

NYOTA wa Yanga Fiston Mayele ameweka waz kuwa watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zijazo za kimataifa ili kufikia malengo yao. Timu hiyo Jumanne Februari 28 ilirejea Bongo ikitokea Mali ilipokuwa na mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Real Bamako. Kwenye mchezo huo ubao ulisoma Real Bamako 1-1 Yanga na kuwafanya wagawane pointi…

Read More