>

ARSENAL WASEPA NA POINTI TATU KIBABE

LICHA ya Bournermouth kuanza kwa kasi kuliandama lango la Arsenal na kupata mabao ya kuongoza kila kipindi. Bao la mapema lilifungwa dakika ya kwanza na Philip Billing na bao la pili lilifungwa na Marcus Senesi dakika ya 51. Mwisho ubao ulisoma Arsenal 3-2 Bournemouth ambapo ni mabao ya Thomes Partey dakika ya 62, Ben White…

Read More

DHAHABU IMEANZA KUPATA MOTO, KAZI IPO JUMANNE

KILE chumba cha mafanikio kilichokuwa kina giza totoro mwanzo mwisho angalau sasa mwanga umeanza kupenya huku ile dhahabu ikianza kupata moto. Ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika walifanikiwa kupata ushindi ugenini baada ya ubao kusoma Vipers 0-1 Simba, Februari 25,2023 Uwanja wa St Mary’s, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula…

Read More

MASTAA HAWA WAKALI WA MIPIRA MIREFU

MABEKI wawili kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara wanaongoza kwa pasi ndefu za uhakika kwenye mechi za ligi. Nyota hawa wamekuwa wakifanya hivyo kwenye mechi ambazo wanacheza jambo ambalo linaongeza nguvu kwa timu hizo kufanya mashambulizi kuanzia nyuma kwenda mbele. Pia wamekuwa wakiweka uimara kwenye lango lao ndani ya dakika 90 kwenye kutimiza majukumu…

Read More

BABKUBWA NA MERIDIANBET WIKIENDI HII, WEKA ODDS BOMBA KATIKA MICHEZO TOFAUTI

Meridianbet wanakuita wewe mteja ambao umekua ukibashiri na mabingwa hawa wa michezo ya kubashiri muweze kushinda kwa pamoja, Kwani wikiendi hii meridianbet wameweka odds bomba katika michezo tofauti tofauti itakayokwenda kupigwa. Bashiri na meridianbet ushinde Michezo ya Jumamosi Machi 4 Baada ya kupata matokeo ya ushindi mchezo uliopita klabu ya Manchester City watakua nyumbani kuwakaribisha…

Read More