SIMBA YACHEZEWA MPIRA NA KUCHAPWA KWA MKAPA

MCHEZO wake wa kwanza ikiwa Uwanja wa Mkapa kwenye anga za kimataifa kwa mwaka 2023 inapoteza. Ni kipigo kinachovunja rekodi yake tamu ya kutofungwa ikiwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 kusoma Simba 0-3 Raja Casablanca. Kipindi cha kwanza Raja Casablanca walianza kwa utulivu mkubwa na walipata bao moja la kuongoza huku Simba wakikosa…

Read More

HAKUNA MWENYE KAZI NYEPESI KIMATAIFA

HAKUNA mwenye unafuu kwa sasa sio Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Dakika 90 ni za jasho kubwa kutokana na umuhimu wa pointi tatu kwa…

Read More

YANGA YAWAITA MASHABIKI KUHUSHUDIA MABAO KIMATAIFA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Makundi kesho Februari 19,2023 uongozi wa Yanga umewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo huo wa kimataifa wa pili wakiwa wametoka kupata maumivu kwenye mchezo wa kwanza ugenini. Ni US Monastir 2-0 Yanga…

Read More