>

FISTON MAYELE KIMATAIFA KATUPIA, KAZI NYINGINE INAFUATA

MSHAMBULIAJI Fiston Mayele kwenye anga za kimataifa ni mabao 7 katupia katika mechi tatu za ushindani ambazo Yanga imecheza. Mayele amefunga mabao hayo kwenye mchezo dhidi ya Zalan FC ya Sudan katika mechi mbili ni mabao sita aliwafunga, mchezo wa kwanza alifunga mabao matatu na ule wa pili alifunga mabao matatu. Yanga ilitinga raundi ya…

Read More

PHIRI MTAMBO WA MABAO SIMBA KIMATAIFA

STAA wa Simba Moses Phiri kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katika mechi tatu kacheka na nyavu mara nne wakati timu hiyo ikipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa. Alifunga kwenye mchezo dhidi ya Big Bullets kwenye hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika mchezo wa kwanza alitupia bao moja ugenini na mchezo wa pili Uwanja wa Mkapa…

Read More

AZAM FC MATUMAINI KIBAO KUWAKABILI WAARABU

BAADA ya kupoteza ugenini kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Akhadar ya Libya, Azam FC hesabu zao ni kupata matokeo nyumbani.Wakiwa ugenini walikubali kipigo cha mabao 3-0 jambo ambalo linawafanya wawe na kibarua cha kusaka ushindi wa zaidi ya mabao matatu bila kufungwa wakiwa Azam Complex. Kocha Mkuu wa Azam FC, Denis Lavagne ameweka…

Read More

JUMA MGUNDA ATAJA SABABU ZA KUWA KWENYE MWENDO BORA

UMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa mafanikio ambayo yanapatikana ndani ya timu hiyo ni kutokana na benchi la ufundi makini pamoja na ushirikiano kutoka kwa viongozi na mashabiki. Mgunda amekuwa na mwendo mzuri ndani ya Simba baada ya kupewa kibarua cha kuinoa timu hiyo ambapo mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya…

Read More

FEI TOTO, MORRISON NA AZIZ KI WAPEWA KAZI KIMATAIFA

VIUNGO wa Yanga ikiwa ni pamoja na Aziz KI, Feisal Salum, Bernard Morrison, Khalid Aucho wamepewa kazi maalumu kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa nchini Sudan, Jumapili, Oktoba 16,2022 saa 2:00 usiku baada ya ule uliochezwa Uwanja wa Mkapa,ubao usoma Yanga 1-1 Al Hilal. Nasreddine…

Read More

KMC HESABU ZAO NI KUELEKEA MTIBWA SUGAR

 BAADA ya ubao wa Uwanja wa Uhuru kusoma KMC 0-0 Ruvu Shooting, Oktoba 7,2022 hesabu za wazee wa pira kodi ni kuelekea mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala ameweka wazi kuwa maandalizi yanakwenda sawa na wachezaji wana morali kubwa kuelekea mchezo huo. Christina amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa…

Read More

KAZI IMEANZA KWA SIMBA KUWAKABILI WAANGOLA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema mashabiki watakaojitokeza Uwanja wa Mkapa watakutana na bendera za rangi nyekundu na nyeupe ili kuongeza nguvu kwenye kushangilia kwa kuzipunga juu kama walivyofanya Simba Day. Aidha ameongeza kuwa kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto, Oktoba 16,2022 Uwanja wa…

Read More