>

NABI:TULIWAZIDI MBEYA CITY KILA KITU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, yenye pointi 36 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye ligi kuu, amesema kuwa waliwazidi wapinzani wao Mbeya City walio na pointi 23 kwenye kila kitu ndani ya dakika 90, kasoro kuwafunga tu ndio walishindwa. Uwanja wa Mkapa Februari 5, ubao ulisoma Yanga 0-0 Mbeya City ambapo jitihada za Fiston Mayele…

Read More

MERIDIANBET MKUCHU CUP INAVYOENDELEA KUBAMBA KUNDUCHI!

Soka la kitaa linaendelea kuwa fursa kwa vijana na chachu ya ushirikiano. Meridianbet Mkuchu Cup imechukua taswira hii kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali ya kata ya Kunduchi na sehemu mbalimbali za Dar es salaam. Meridianbet Mkuchu Cup ilianza kwa kushirikisha jumla ya timu 20 kutoka maeneo ya Mwananyamala, Mwenge, Kinondoni, Magomeni, Bunju, Tegeta, Kunduchi, Kawe,…

Read More

GSM WAJIONDOA UDHAMINI LIGI KUU BARA

UONGOZI wa Kampuni ya GSM leo Februari 7, 2022,umetangaza rasmi kujiondoa kwenye nafasi ya kuwa Mdhamini mwenza wa Ligi Kuu ya NBC. Taarifa ambayo imetolewa na Ofisa Biashara Mkuu wa GSM, Allan Chonjo imeeleza kuwa leo Februari 7,2022 GSM imetangaza rasmi kujiondoa kwenye nafasi ya kuwa mdhamini mweza wa ligi. Sababu ya kufikia maamuzi hayo…

Read More

KOCHA ALIYEWATUNGUA SIMBA APEWA TUZO

FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar ambaye alikiongoza kikosi chake kuitungua Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco amepewa tuzo ya kocha bora wa mwezi Januari. Kwa mujibu wa kikao cha Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), kilichokutana hivi karibuni Dar kimechagua jina la Baraza kuwa kocha bora wa Januari. Baraza…

Read More

MAYELE MCHEZAJI BORA JANUARI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amecheguliwa kuwa mchezaji bora kwa mwezi Januari baada ya kuchaguliwa na Kamati ya Tuzo za TFF iliyokutana wiki hii Dar. Mayele mwenye mabao sita na pasi mbili za mabao amekuwa ni mshambuliaji mwenye mwendo bora awapo uwanjani na ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Ametwaa tuzo hiyo…

Read More

DUBE:NIPO FITI SASA NITAFUNGA

BAADA ya kupitia kipindi kigumu cha kuandamwa na majeraha, hatimaye straika wa Azam FC, Prince Dube, amesema kuwa kwa sasa yupo fiti, anataka kupambana na kuifungia mabao mengi timu yake. Dube amesema msimu uliopita alipishana na kiatu cha ufungaji bora kwa sababu alikuwa anaumia mara kwa mara, lakini kwa sasa yupo fiti na anarudi akiwa…

Read More

YANGA:HATUKUKURUPUKA KUFANYA USAJILI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba usajili walioufanya ni wa viwango vikubwa jambo linalowapa matumaini yakufanya vizuri kwenye mashindano ambayo watacheza kwa kuwa hawakukurupuka. Miongoni mwa wachezaji ambao wamesajiliwa na Yanga ni pamoja na Chico Ushindi, Dennis Nkane,Salim Aboubakhari na Crispin Ngushi. Wachezaji hao wameanza kucheza mechi za ushindani isipokuwa kwa sasa Nkane bado yupo…

Read More

MORRISON NDANI YA SIMBA NI 500

KIUNGO wa Simba, Bernard Morrison kwa msimu wa 2021/22 ndani ya kikosi cha Simba ameyeyusha dakika 500 katika mechi za Ligi Kuu Bara. Simba ikiwa imecheza jumla ya mechi 15 ambazo ni dakika 1,350 alikosekana katika dakika 850 uwanjani. Kabla ya kusimamishwa kutokana na kile kilichoelezwa kwamba ni utovu wa nidhamu mechi yake ya mwisho…

Read More

SENEGAL MABINGWA WA AFCON 2021

SENEGAL ni mabingwa wa AFCON 2021 kwa ushindi wa penalti 4-2 baada ya dakika 120 kukamilika bila kufungana dhidi ya Misri kwenye bonge moja ya fainali. Mshindi alipatikana kwa mikwaju ya penalti ambapo ni Senegal walianza kupiga kupitia kwa Coulibary ambaye kufunga penalti hiyo ya kwanza. Coulibary alifunga penalti ya kwanza kwa Senegal na Zizou…

Read More

SENEGAL V MISRI FAINALI NGOMA NZITO

ZILIANZA kumeguka dakika 45 kwa miamba miwili Senegal v Mali kutofungana katika mchezo wa fainali ya AFCON 2021 nchini Cameroon. Katika dakika ya 2, Senegal walipata penalti ikapigwa na Sadio Mane na kipa wa Misri aliweza kuipangua baada ya kupewa maujuzi kutoka kwa Mohamed Salah. Zikameguka dakika 90 ngoma ikawa Senegal 0-0 Misri na hata…

Read More

CHAMA ATUPIA SIMBA IKISHINDA MBELE YA MBEYA KWANZA

CLATOUS Chama,mwamba wa Lusaka ametupia bao pekee la ushindi mbele ya Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni bao la kwanza kwa Chama akipachika bao hilo akitokea benchi alipokuwa akisoma mchezo. Ni dakika ya 85 mpira ulijazwa kimiani na kufanya mashabiki wa Simba kunyanyuka jukwaani. Unakuwa mchezo wa pili kwa Simba kushinda bao…

Read More

AZAM FCHESABU ZAKE ZIPO NAMNA HII

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa malengo yao makubwa msimu huu ni kuhakikisha wanashinda michezo mingi kadiri inavyowezekana ili kujiweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo na kukata tiketi ya kucheza mashindano ya kimataifa msimu ujao. Azam ambayo ipo chini ya kocha Abdi Hamid Moallin, ipo nafasi ya tatu na pointi zake ni 24 kibindoni….

Read More

KOCHA TANZANIA PRISONS:PENALTI YA SIMBA NI HALALI

SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons, amesema kuwa bao la penalti ambayo walipata Simba  ni halali kwa kuwa ilitolewa na mwamuzi kutokana na makosa ambayo walifanya. Bao hilo lilifungwa na Meddie Kagere na lilionekana kuwa na utata kutokana na wachezaji wa Prisons kumfuata mwamuzi kulalamika juu ya penalti hiyo. Kazumba aliliambia Championi Jumamosi kuwa:-“Simba…

Read More

SASA NGUVU ZIMEHAMIA U 17

BAADA ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya miaka 20, Tanzanite Queens kupoteza kwenye mchezo wa kuwania kufuzu tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Ethiopia hesabu zimehamia kwenye maandalizi ya U 17. Akizungumza na Spoti Xtra, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tazania, (TFF)Wilfred Kidao alisema…

Read More