>

BEKI MTIBWA SUGAR AINGIA ANGA ZA SINGIDA BIG STARS

BAADA ya kuwaaga mabosi wake Mtibwa Sugar beki wa kazi Nickson Kibabage anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia ndani ya Singida Big Stars. Nyota huyo aliwaaga wachezaji na viongozi wake rasmi Desemba 13 kwa kueleza kuwa anashukuru kwa muda wote ambao alikuwa ndani ya timu hiyo. Pia alikuwa anavaa kitambaa cha unahodha jambo ambalo liliwafanya…

Read More

MOROCCO WAMEMALIZA MWENDO WA KUSAKA FAINALI

MWENDO wa Timu ya Taifa ya Morocco kutoka Afrika umegotea hatua ya nusu fainali baada ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi Ufaransa. Ufaransa imewafunga Morocco mabao 2-0 sasa itamenyana na Timu ya Taifa ya Argentina kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 inayotarajiwa kuchezwa Jumapili. Ni mabao ya…

Read More