![VIDEO;WACHEZAJI PRISONS WALIJITUMA,NDONDOKELA TU KWA YANGA](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2022/12/Yanga-v-Prisonsss.jpg)
VIDEO;WACHEZAJI PRISONS WALIJITUMA,NDONDOKELA TU KWA YANGA
WACHEZAJI Prisons walijituma,ndondokela tu kwa Yanga
WACHEZAJI Prisons walijituma,ndondokela tu kwa Yanga
DAKIKA 15 ziliwatosha Azam FC kuiondoa nafasi ya pili Simba kwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Uwanja wa Ushirika, Moshi umesoma Polisi Tanzania 0-1 Azam FC ikiwa ni bao la dakika ya 15 kupitia kwa mtambo wao wa mabao Ayoub Lyanga. Hili linakuwa bao la kwanza kwa nyota huyo kufunga na kuipa pointi tatu…
Coastal Union wamebainisha wamefungwa mabao mepesi kwa Simba huku kipindi cha pili hali kuwa tofauti kwa kuwa walifanya makosa yaliyowafanya wakapoteza kwa kufungwa mabao 3-0
HUYO Chama awapagawisha mashabiki kutokana na kazi yake uwanjani
MABOSI wameamua, waisuka upya Simba namna hii
UNAIKUMBUKA kauli ya Asukile kabla ya mchezo dhidi ya Yanga? Hii hapa
BAADA ya ushindi ambao wameupata mbele ya Tanzania Prisons kikosi hicho kimeibukia Mtwara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mtupiaji akiwa ni Feisal Salum dakika ya 89 na kuipa ushindi timu hiyo. Sasa Yanga ni vinara wa ligi wakiwa wamecheza mechi 14 n kibindoni wana pointi 35 wanakutana na Namungo ambayo…
Wiki hii ule ukurasa raundi ya mtoano wa 16 bora utafungwa rasmi kwa michezo minne iliyosalia, ni Japan vs Croatia, Brazil vs Korea Kusini, Morocco vs Hispania, Ureno vs Uswizi. Ni mpaka kieleweke mshindi apatikane. Onesha makali yako ya kutabiri ukiwa na Meridianbet. Jumatatu Desemba 05 2022 Baada ya kuwafunga Hispania kwenye mchezo wao wa…