HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA PRISONS

 YANGA ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons inayozihitaji pia pointi hizo.

Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hi:-

Djigui Diarra

Kibwana Shomari

Joyce Lomalisa

Yannick Bangala

Ibrahim Bacca

Khalid Aucho

Feisal Salum

Tuisila Kisinda

Clement Mzize

Aziz Ki

Dickson Ambundo