>

NABI AWAPA TANO KAGERA SUGAR

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapa pongezi Kagera Sugar kwa kuonyesha ushindani kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Dakika 90 zimekamilika, ubao umesoa Kagera Sugar 0-1 Yanga bao ambalo lilifungwa mapema kipindi cha kwanza. Ni Clemet alipachika bao hilo dakika ya 18 lililomshinda kipa wa Kagera Sugar Said Kipao. Kipindi cha…

Read More

CCM KIRUMBA: KAGERA SUGAR 0-1 YANGA

UWANJA wa CCM Kirumba dakika 45 zimekamilika na ubao unasoma Kagera Sugar 0-1 Yanga. Bao la uongozi kwa Yanga limefungwa na nyota Clemet Mzize dakika 18 akiwa ndani ya 18 na kuwanyanyua Wananchi. Mashabiki wamejitokeza kwa wingi na dakika ya 45 walisimama kwa pamoja kupig makofi kushangilia uongozi wao pamoja na rekodi yakucheza mechi hizo…

Read More

NABI:TUMETUMIA MUDA MWINGI KWENYE NDEGE KULIKO UWANJANI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ratiba ni ngumu lakini hawalalamiki huo ni ukweli. Nabi amebainisha kuwa wametumia muda mwingi kwenye ndege kuliko muda wa kufanya maandalizi kwa mechi iliyo mbele yao. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania unaotarajiwa kuchezwa Uwanja…

Read More

KOCHA IHEFU ATAJA WALIPOKWAMIA

JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa mpango kazi ulivurugika baada ya timu hiyo kufungwa bao kipindi cha pili. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jana Novemba 12,Uwanja wa Mkapa, Ihefu ilifanikiwa kutoruhusu bao ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili walikwama kulinda na kufunga na kuruhusu bao la…

Read More