>

MIPANGO YA SIMBA KUMTUMIA MZAMIRU ILIKWAMA HIVI

MZAMIRU Yassin kiungo wa kazi ndani ya Simba mchezo wake wa kwanza kutokuwa kwenye mpango wa benchi la ufundi msimu wa 2022/23 ilikuwa dhidi ya Azam FC kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano. Hakuwa kwenye mpango wakati timu hiyo ikinyooshwa kwa kufungwa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa Oktoba 27,2022. Nyota huyo mzawa…

Read More

FEISAL KUONGEZA ZAIDI JUHUDI YANGA

 KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum amesema kuwa atazidi kuongeza juhudi katika kutengeneza nafasi na kufunga pale anapopewa nafasi ya kucheza. Kiungo huyo mzawa ni namba moja kwa mastaa wenye mabao mengi ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Bao lake la nne alipachika kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC uliochezwa Uwanja wa…

Read More