![VIDEO: CHEKI TIZI LA WAPINZANI WA SIMBA, de AGOSTO](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2022/10/unknown_310705854_218432177173347_52479617097807161_n.jpg)
VIDEO: CHEKI TIZI LA WAPINZANI WA SIMBA, de AGOSTO
WAPINZANI wa Simba kimataifa de Agosto kutoka Angola leo Oktoba 15,2022 wamefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 Uwanja wa Mkapa
WAPINZANI wa Simba kimataifa de Agosto kutoka Angola leo Oktoba 15,2022 wamefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 Uwanja wa Mkapa
MATOKEO ya mechi za Ligi Kuu Bara leo Oktoba 15,2022 yapo namna hii:- KMC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Ni mabao ya Irahim Ame dakika ya 39 na Emmanuel Mvuyekule dakika ya 58. Kwa upande wa bao la Mtibwa Sugar mtupiaji ni Charlse…
Toleo la hivi karibuni zaidi la Maonesho ya Kimataifa ya Michezo ya Kubahatisha (G2E) limekuwa na mafanikio makubwa. \Wakati huu umekuwa pia ni wakati wa mafanikio makubwa ya Expanse Studio, mojawapo ya waandaaji na wasambazaji wa michezo ya kasino mtandaoni wanaokuwa kwa kasi zaidi. Expanse Studios walirejea kwenye jukwaa kuu na kuwasilisha matoleo yake mapya…
Oktoba 14 siku ya kumbukizi ya Kifo cha aliyekuwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Kampuni ya Meridianbet wameweza kutoa Aprons zaidi ya 300 kwa wafanyabiashara hasa baba lishe na mama lishe katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar- es salaam ikiwemo maeneo ya Makumbusho, Magomeni pamoja na eneno la Muhimbili. Kama ilivyo kawaida ya…
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Yanga 1-1 Al Hilal. Alfajiri ya leo Oktoba 15,2022 kikosi cha Yanga kinachonolewa…
FEI Toto gumzo kila kona Sudan, Simba tunatinga makundi kwa kishindo ndani ya Championi Jumamosi.
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa ukweli mchungu kwa timu hiyo kushindwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika jambo ambalo linawafanya wawafuate wapinzani wao wakiwa wanahitaji ushindi ndani ya dakika 90 bila hofu. Kamwe amebainisha kuwa kuna wachezaji watatu ambao watakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Sudan, Oktoba 16,2022
MCONGO wa Simba amesema kuwa kimtazamo Simba imefanikiwa kupita hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuwa ndani ya hatua ya makundi lakini bado mpira unaendelea na hawatarudia makosa ambayo waliyafanya kimataifa dhidi ya Jwaneng Galaxy kwa kuwa kwa sasa wamefanya usajili mzuri
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Al Hilal unatarajiwa kuwa na ugumu kutokana na kushindwa kutumia nafasi ambazo walipata kwenye mchezo uliopita na inatarajiwa kuwa na mabadiliko kwenye kikosi hicho
KIKOSI cha Polisi Tanzania kimeadhibiwa na nyota wa Polisi Tanzania ambao walikuwa kwenye kikosi hicho kwa nyakati taofauti na sasa wanapata changamoto mpya ndani ya Mbeya City. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, baada ya dakika 90, ubao umesoma Mbeya City 3-1 Polisi Tanzania. Ni mabao ya Hassan Nassoro dakika ya…