KMC HESABU ZAO NI KUELEKEA MTIBWA SUGAR

 BAADA ya ubao wa Uwanja wa Uhuru kusoma KMC 0-0 Ruvu Shooting, Oktoba 7,2022 hesabu za wazee wa pira kodi ni kuelekea mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala ameweka wazi kuwa maandalizi yanakwenda sawa na wachezaji wana morali kubwa kuelekea mchezo huo. Christina amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa…

Read More

KAZI IMEANZA KWA SIMBA KUWAKABILI WAANGOLA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema mashabiki watakaojitokeza Uwanja wa Mkapa watakutana na bendera za rangi nyekundu na nyeupe ili kuongeza nguvu kwenye kushangilia kwa kuzipunga juu kama walivyofanya Simba Day. Aidha ameongeza kuwa kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto, Oktoba 16,2022 Uwanja wa…

Read More

SIMBA USHAMBULIAJI IMEKIMBIZA, PHIRI NAMBA MOJA

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kimekuwa na moto kwenye safu ya ushambuliaji huku ukuta wao ukiwa haujaruhusu mabao mengi kwenye mechi za ushindani. Simba ikiwa imecheza jumla ya mechi 8 za mashindano, ligi mechi tano na Ligi ya Mabingwa Afrika mechi tatu imetupia jumla ya mabao 18 huku safu ya ulinzi…

Read More

MIPANGO INASUKWA UPYA YANGA KUIMALIZA AL HILAL

MPAGO mpya unasukwa na Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi kuelekea mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa ugenini wikendi hii. Ni kwenye mapigo ya mipira iliyokufa ambayo wamekuwa wakiipata kwa kuwataka wapigaji kutulia huku wao wakipunguza makosa wakiwa karibu na eneo lao la hatari. Bernard Morrison na Aziz KI wamekuwa wakipewa majukumu…

Read More