TAIFA STARS YAPOTEZA MBELE YA UGANDA

TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imepoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kuwania kufuzu CHAN. Dakika 45 za mwanzo timu zote zilikwenda vyumba vya kubadilishia nguvo wakiwa hawajafungana baada ya kutoshana nguvu. Zikiwa zimesalia dakika tatu mchezo kukamilika, Uganda waliweza kupachika bao kupitia kwa Travis Mutyaba dakika ya 87…

Read More

LIVERPOOL WANASIFA KWELI WACHAPA 9-0

IKIWA Uwanja wa Anfield, Klabu ya Liverpool imeibuka na ushindi mkubwa wa mabao 9-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Huu unakuwa ni ushindi mkubwa ndani ya Ligi Kuu England ambayo imeanza kwa kasi na wa kwanza kwa Liverpool inayonolewa na Jurgen Klopp. Staa Robert Firmino ambaye anafikisha mabao 100 akiwa na…

Read More

TAIFA STARS KAZINI LEO KUIKABILI UGANDA

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kuikabili Uganda. Huu ni mchezo wa kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani, (CHAN), Uwanja wa Mkapa saa 10:00. Poulsen amesema kuwa wanatambua Uganda ni moja ya timu ngumu…

Read More

ARSENAL WAPINDUA MEZA NA KUJIIMARISHA JUU

UPINDUAJI wa meza mbele ya Fulham ambao walitangulia kupachika bao dakika ya 56 kupitia kwa Aleksandar Mitrovic unawafanya Arsenal kuanza kwa kasi msimu wa 2022/23. Dakika 8 zilitosha kwa Klabu ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta kufanya yao kwa kuanza kufunga mabao yao. Ni Mardtin Odegaard aliweza kuweka usawa ilikuwa dakika ya 64…

Read More