MASTAA 10 KUTOKUWA NDANI YA GEITA GOLD

UONGOZI wa Geita Gold umeweka wazi kuwa makubaliano ya kuachana na wachezaji wao yamezingatia utaratibu kwa kuwa wanaheshimu mikataba ya wachezaji wao.  Timu hiyo imetangaza kuachana na wachezaji saba na kufikisha idadi ya wachezaji 9 ambao wameondoka katika kikosi hicho.  Wachezaji ambao hawatakuwa ndani ya Geita Gold ni pamoja na  Maka Edward, Ramadhan Athuman Teleza, Pius…

Read More