KOCHA NABI AMTABIRIA MAKUBWA MAKI

NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa Zoran Maki kocha wa Simba anapaswa apewe muda kuiunda timu ya ushindani kwa kuwa bado kila kitu kwake ni kipya. Maki alikabidhiwa mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31, 2021 baada ya kuvuliwa taji la Ngao ya Jamii kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika hatua…

Read More

NUNEZ AOMBA RADHI

DARWIN Nunez, mshambuliaji wa Liverpool ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumpiga kichwa beki wa Crytal Palace, Joachim Andersea akisisitiza kuwa amejifunza kutokana na makosa. Tukio hilo lilitokea kwenye mchezo wa Liverpool dhidi ya Crystal Palace uliochezwa Uwanja wa Anfield, juzi Jumatano na kwa tukio hilo nyota huyo alitolewa kwa kadi nyekundu. Ni mchezo wa…

Read More