RATIBA YA LIGI KUU BARA IPO HIVI

LEO Juni 25 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo ratiba yake ni moto kwa timu zinazopambana kushuka daraja kwa kuwa hatma yao itaanza kufahamika leo. Ni Yanga ambao ni mabingwa wa ligi wao hawana presha zaidi ya kuendelea kusaka rekodi za kutofungwa kwa msimu wa 2021/22 ndani ya ligi Muziki kamili leo utakuwa namna hii:-Coastal…

Read More

YANGA KUIKABILI MBEYA CITY

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo kitakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya City kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Jana wachezaji wa Yanga ikiwa ni pamoja na Zawad Mauya, Fiston Mayele,Feisal Salum walikuwa ni miongoni mwa nyota ambao walifanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya…

Read More

GEITA GOLD YAFUNGIWA NA FIFA KUSAJILI

SHIRIKISHO la Kimataifa la Soka (FIFA) limeifungia Klabu ya Geita Gold kusajili wachezaji hadi itakapomlipa aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ettiene Ndayiragije. Kocha huyo raia wa Burundi alifungua madai dhidi ya Geita Gold akidai fidia ya kuvunjiwa mkataba pamoja na malipo mengine wakati akiifundisha timu hiyo ya mkoani Geita. Kwa mujibu wa taratibu za FIFA,…

Read More

MCAMEROON KUCHUKUA MIKOBA YA LWANGA SIMBA

WAKATI wakijua kuwa wataachana na kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga, uongozi wa Simba upo kwenye mawindo makali ya kumchukua kiungo Cedric Zemba Ekong raia wa Cameroon ili azibe pengo hilo. Simba wanataka kuliboresha eneo lao la ukabaji ambapo Ekong anayeitumikia Apejes FC ya kwao akifanywa kuwa chaguo namba moja. Kikosi hicho kwa msimu huu kimekuwa…

Read More

YANGA WASHITUKA, YAFUATA BEKI GHANA

MABOSI wa Yanga wameiangalia ripoti ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi haraka wakachukua maamuzi magumu ya kumfuata beki Mghana, Mohammed Alhassani. Beki huyo anayemudu kucheza namba 4 na 5 anakipiga Klabu ya Heart of Oak inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana ambaye anakuja kuimarisha safu ya ulinzi. Nabi hivi karibuni alisitisha mpango wa kusajili…

Read More

SIMBA WAMEPANIA, YASHUSHA WINGA MKENYA DAR

JANA asubuhi sana Simba ilimshusha winga wa kimataifa raia wa Kenya, Harrison Mwendwa kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kumsajili kuelekea katika msimu ujao. Simba tayari imefanikisha usajili wa kimyakimya wa wachezaji wanne pekee ambao ni Mzambia, Moses Phiri aliyetambulishwa tayari wengine Mnigeria Victor Akpan, Mghana Augustine Okrah na Nassoro Kapama. Timu hiyo inaendelea kufanya…

Read More

NYOTA BIASHARA UNITED KUSEPA MSIMU UKIISHA

 NYOTA wa Biashara United, Ramadhan Chombo ‘Redondo’ ameweka wazi kuwa msimu ujao atakuwa nje ya Biashara United ambayo anaitumikia kwa sasa. Ikumbukwe kwamba nyota huyo amebakiza mechi mbili tu kuvua rasmi jezi ya timu hiyo baada ya kuivaa kwa misimu mitatu na msimu ujao hatakuwa katika kikosi hicho. Licha ya kushindwa kuweka wazi, atakuwa timu…

Read More

WINGA HUYU ATUA BONGO,ATAJWA KUIBUKIA SIMBA

 WINGA, Harrison Mwendwa ametua Dar es Salaam leo Juni 24 ambapo anatajwa kuwa amekuja kukamilisha suala la usajili wake na timu moja inayosiriki Ligi Kuu Bara. Winga huyo anatajwa kuingia kwenye rada za Azam FC,Yanga na Simba ambazo zinahitaji kuweza kupata saini yake kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23. Mguu wake wenye nguvu ni…

Read More

TANZANIA YAPANGWA KUNDI D KOMBE LA DUNIA

IKIWA imefanikisha lengo la kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kwenye Kombe la Dunia kwa timu ya Wasichana ya Tanzania, U 17, Serengeti Girls kundi lao ni D. Timu hiyo imefanikisha malengo hayo kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-1 Cameroon ulioifanya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Bakari Shime kukamilisha lengo hilo Juni 5,mwaka huu….

Read More

KIUNGO WA YANGA FEI AWEKA WAZI SABABU ZA UPAMBANAJI

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ameweka wazi kuwa kazi kubwa ambayo wanaifanya uwanjani ni kusaka ushindi jambo linalowafanya wawe na furaha. Fei ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi amekuwa kwenye ubora kila awapo uwanjani. Kesho Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City na wanatarajiwa pia kukabidhiwa taji lao la…

Read More

SIMBA YAMUACHIA STRAIKA WAO KUTUA SINGIDA

IMEELEZWA kuwa, Simba ipo katika mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya kumuachia mshambuliaji wake, Yusuph Mhilu kwenda Singida Big Stars. Mhilu ni kati ya washambuliaji waliosajiliwa na timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu, kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao ambacho kimeshindwa kutetea mataji yake ya Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports….

Read More