ISHU YA UFUNGAJI BORA MAYELE AFUNGUKIA

KINARA wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kumwambia mpinzani wake wa Geita Gold, George Mpole hatakubali akiache kiatu cha ufungaji bora msimu huu. Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kufunga mabao mawili na kufikisha mabao 16 katika ufungaji huku mpinzani wake akifunga 15. Mkongomani huyo alifunga mabao hayo katika mchezo…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Juni 18, ambapo timu mbili zitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu. Ni Geita Gold itawakaribisha Biashara United katika Uwanja wa Nyankumbu. Geita Gold ipo nafasi ya 4 ikiwa na pointi 39 inakutana na Biashara United iliyo nafasi ya 15 na pointi 25. Pia mchezo mwingine ni…

Read More

MSUVA ATAJWA SIMBA,YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Wydad Casablanca, Mtanzania Simon Msuva amekiri kufuatwa na kufanya mazungumzo na timu kongwe za Simba na Yanga kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao. Kiungo huyo hivi sasa yupo nchini akisubiria hatima ya kesi yake inayoendelea Fifa dhidi ya klabu yake hiyo anayoichezea ya Casablanca. Msuva amesema kuwa hivi karibuni ataweka wazi…

Read More

HESABU ZA KIMATAIFA ZA YANGA NOMA

 UONGOZI wa kikosi cha Yanga, umeweka wazi kuwa wamejiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha msimu ujao, angalau wanacheza hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.   Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union umewafanya Yanga rasmi kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa ligi na kuandika rekodi ya kushinda ubingwa huo kwa mara ya 28….

Read More

BWALYA KUAGWA JUMAPILI

 KIUNGO wa Klabu ya Simba, Rally Bwalya atasepa ndani ya kikosi hicho baada ya mabosi wa timu hiyo kuweka wazi kwamba wamefikia makubaliano na timu moja iliyokuwa inahitaji saini yake. Simba wameweka wazi kuwa wanashukuru kwa huduma ya kiungo huyo raia wa Zambia ambaye alitua hapo Agosti 2020 akitokea Klabu ya Power Dynamo. Ni dili…

Read More

BEKI WA YANGA KUIBUKIA AZAM FC

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Azam ipo katika mazungumzo na aliyewahi kuwa Beki na Nahodha wa Yanga, Lamine Moro kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ulinzi msimu ujao wa 2022/23. Beki huyo kwa sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Newroz SC ya nchini Iraq aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kumalizika. Ikumbukwe kuwa,…

Read More

KIUNGO WA KAZI AZICHONGANISHA SIMBA NA YANGA

IMEELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo kwenye rada za Yanga na Simba ambao wanawania saini yake. Nyota huyo amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ndani ya Coastal Union akiwa ametupia mabao 7 ndani ya ligi na ni namba moja kwenye timu hiyo. Habari zimeeleza kuwa Simba wanahitaji kuipata saini ya…

Read More

KOCHA YANGA AMPELEKA SAIDO SIMBA

BAADA ya Said Ntibanzokiza kuachana na Yanga kocha wa makipa wa zamani wa timu hiyo Vladimir Niyonkuru raia wa Burundi ameweka wazi kuwa anatamani kumuona kiungo huyo akisaini Simba. Saido mkataba wake ulimeguka Mei 30 na Yanga waliweka wazi kwamba wanamtakia kila la kheri kwenye changamoto mpya ambayo atakuwa kwa wakati ujao. Kocha huyo amesema:”Nimesikia…

Read More

SIMBA YALIPA KISASI UWANJA WA MKAPA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata mbele ya Mbeya City ni muhimu kwao katika kuongeza hali ya kujiamini kwa mechi zijazo. Ushindi huo ni kisasi kwa Simba ambao walinyooshwa kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza na kuacha pointi tatu mazima mbele ya Mbeya City. Jana Juni 16, Uwanja wa Mkapa…

Read More

SIMBA YAFUATA STRAIKA GHANA, MAZUNGUMZO YANAENDELEA

SIMBA SC ipo katika mazungumzo ya mwisho ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji Augustine Okrah anayeichezea Bechem United FC ya Ghana. Timu hiyo imepanga kukiboresha kikosi chao kitakachowavusha hatua ya robo fainali ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao baada ya misimu ya karibuni kuishia hatua hiyo. Wakati mshambuliaji huyo akitarajiwa kutua, Simba imepanga kuachana na…

Read More

MASHINE MPYA YANGA HII HAPA KUTOKA ANGOLA

UNAKUMBUKA uongozi wa Yanga ulisema kuwa kuna mchezaji aliyecheza Ligi ya Angola atasajiliwa na Yanga msimu huu? Sasa ni wazi kuwa klabu hiyo tayari imemelizana na straika huyo anayefahamika kwa jina la Adriano Belmiro Duarte Nicolau ‘Yano’ anayekipiga Petro Luanda ya nchini humo. Yano Belmiro mwenye umri wa miaka 29, katika michuano ya kimataifa msimu…

Read More

SIMBA KUYAKOSA MABAO 8 LIGI KUU BARA

MASTAA watatu wa Simba ambao wamehusika kwenye mabao 8 kati ya 33 wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Mkapa. Ni John Bocco mwenye mabao 3 Jonas Mkude mwenye pasi mbili za mabao na Clataous Chama mwenye mabao matatu hawa jana na juzi walipewa program maaalumu kwa ajili ya kuwarejesha kwenye…

Read More

AZAM FC YAINYOOSHA MBEYA KWANZA,NAFASI YA 3

AZAM FC imewashusha Geita Gold kwenye nafasi ya tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mbeya Kwanza. Mchezo huo ulichezwa katika Uwanja wa Azam Complex na ulikuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa Mbeya Kwanza wanapambana kushuka daraja. Ni mabao ya Shabaan Chilunda dk ya 45+1 na Idris Mbombo aliyepachika bao hilo dk ya…

Read More