SportsSAUTI:KMC WAWAHOJI SIMBA POINTI TATU WATAKWENDA NAZO WAPI? Saleh4 years ago01 mins CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amewaambia mashabiki kuwa ikiwa Simba watawaambia kwamba wameshinda kwa mabao 3-1 inabidi wawaulize,sawa wanakwenda wapi na pointi tatu wakati tayari bingwa ameshajulikana? Post navigation Previous: BWALYA: NITAIMISI SIMBA, NAWAPENDA MASHABIKI WA HII TIMUNext: MASTAA HAWA WAWILI YANGA KUIKOSA POLISI TANZANIA