BWALYA KUAGWA JUMAPILI

 KIUNGO wa Klabu ya Simba, Rally Bwalya atasepa ndani ya kikosi hicho baada ya mabosi wa timu hiyo kuweka wazi kwamba wamefikia makubaliano na timu moja iliyokuwa inahitaji saini yake. Simba wameweka wazi kuwa wanashukuru kwa huduma ya kiungo huyo raia wa Zambia ambaye alitua hapo Agosti 2020 akitokea Klabu ya Power Dynamo. Ni dili…

Read More

BEKI WA YANGA KUIBUKIA AZAM FC

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Azam ipo katika mazungumzo na aliyewahi kuwa Beki na Nahodha wa Yanga, Lamine Moro kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ulinzi msimu ujao wa 2022/23. Beki huyo kwa sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Newroz SC ya nchini Iraq aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kumalizika. Ikumbukwe kuwa,…

Read More

KIUNGO WA KAZI AZICHONGANISHA SIMBA NA YANGA

IMEELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo kwenye rada za Yanga na Simba ambao wanawania saini yake. Nyota huyo amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ndani ya Coastal Union akiwa ametupia mabao 7 ndani ya ligi na ni namba moja kwenye timu hiyo. Habari zimeeleza kuwa Simba wanahitaji kuipata saini ya…

Read More

KOCHA YANGA AMPELEKA SAIDO SIMBA

BAADA ya Said Ntibanzokiza kuachana na Yanga kocha wa makipa wa zamani wa timu hiyo Vladimir Niyonkuru raia wa Burundi ameweka wazi kuwa anatamani kumuona kiungo huyo akisaini Simba. Saido mkataba wake ulimeguka Mei 30 na Yanga waliweka wazi kwamba wanamtakia kila la kheri kwenye changamoto mpya ambayo atakuwa kwa wakati ujao. Kocha huyo amesema:”Nimesikia…

Read More

SIMBA YALIPA KISASI UWANJA WA MKAPA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata mbele ya Mbeya City ni muhimu kwao katika kuongeza hali ya kujiamini kwa mechi zijazo. Ushindi huo ni kisasi kwa Simba ambao walinyooshwa kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza na kuacha pointi tatu mazima mbele ya Mbeya City. Jana Juni 16, Uwanja wa Mkapa…

Read More