SIMBA YAFUATA STRAIKA GHANA, MAZUNGUMZO YANAENDELEA

SIMBA SC ipo katika mazungumzo ya mwisho ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji Augustine Okrah anayeichezea Bechem United FC ya Ghana. Timu hiyo imepanga kukiboresha kikosi chao kitakachowavusha hatua ya robo fainali ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao baada ya misimu ya karibuni kuishia hatua hiyo. Wakati mshambuliaji huyo akitarajiwa kutua, Simba imepanga kuachana na…

Read More

MASHINE MPYA YANGA HII HAPA KUTOKA ANGOLA

UNAKUMBUKA uongozi wa Yanga ulisema kuwa kuna mchezaji aliyecheza Ligi ya Angola atasajiliwa na Yanga msimu huu? Sasa ni wazi kuwa klabu hiyo tayari imemelizana na straika huyo anayefahamika kwa jina la Adriano Belmiro Duarte Nicolau ‘Yano’ anayekipiga Petro Luanda ya nchini humo. Yano Belmiro mwenye umri wa miaka 29, katika michuano ya kimataifa msimu…

Read More

SIMBA KUYAKOSA MABAO 8 LIGI KUU BARA

MASTAA watatu wa Simba ambao wamehusika kwenye mabao 8 kati ya 33 wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Mkapa. Ni John Bocco mwenye mabao 3 Jonas Mkude mwenye pasi mbili za mabao na Clataous Chama mwenye mabao matatu hawa jana na juzi walipewa program maaalumu kwa ajili ya kuwarejesha kwenye…

Read More

AZAM FC YAINYOOSHA MBEYA KWANZA,NAFASI YA 3

AZAM FC imewashusha Geita Gold kwenye nafasi ya tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mbeya Kwanza. Mchezo huo ulichezwa katika Uwanja wa Azam Complex na ulikuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa Mbeya Kwanza wanapambana kushuka daraja. Ni mabao ya Shabaan Chilunda dk ya 45+1 na Idris Mbombo aliyepachika bao hilo dk ya…

Read More

SINGIDA BIG STARS WAMOTO KWELI,CHEKI MASTAA WANAOTAJWA

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Singida Big Stars wapo kwenye hesabu za kuoresha kikosi chao na wataanza kuwavuta nyota wenye uzoefu katika kikosi hicho. Singida Big Stars imepanda daraja kutoka Championship ambapo kwa sasa ipo kwenye maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23 ndani ya Ligi Kuu Bara na itatumia Uwanja wa Liti,Singida.  Dickson Ambundo,Deus Kaseke,Paul Godfrey,Erick…

Read More

MAJEMBE HAYA MAWILI KUIBUKIA YANGA

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga wamemalizana na nyota wawili kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23 kwenye ligi na mechi za kimataifa. Ni Stephan Aziz KI ambaye ni mali ya ASEC Mimosas yeye ni kiungo mshambuliaji na Lazarous Kambole kutoka Kaizer Chiefs yeye ni raia wa Zambia ambaye ni mshambuliaji. Sababu kubwa ya kuweza kunasa…

Read More

MNIGERIA WA SIMBA ATAJWA YANGA

KIUNGO Victor Akpan mali ya Coastal Union anatajwa kuwavuruga vigogo ambao wanawania saini yake kwa sasa. Ni Simba walianza kuiwania saini ya kiungo huyo ambaye jana mbele ya Yanga aliweza kutimiza majukumu yake kwa umakini licha ya timu hiyo kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0. Habari zinaeleza kuwa Simba wana nafasi kubwa ya kumnasa kiungo huyo…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA KUTUA YANGA,YEYE NI BEKI

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya nyota Joyce Lomalisa ambaye anakipiga Klabu ya Sagrada Esperanca ya Angola. Nyota huyo ni beki ambaye anakuja kuongeza nguvu kwenye kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Hivyo kutua kwake ndani ya Yanga kutafanya aweze kuungana na beki mwingine wa kazi, Yannick Bangala…

Read More

KISA UBINGWA WA LIGI, SIMBA WAIBUKA,YANGA WAJIBU

MUDA mfupi baada ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuweza kufanikisha lengo la kuwa mabingwa watani zao wa jadi Simba wametuma ujumbe wao. Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa umewafanya Yanga kusepa na pointi tatu na kufikisha pointi 67 ambazo hizo ni mali…

Read More

YANGA YATWAA UBINGWA WA 28 BONGO

YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa ambapo timu zote zilikuwa zinahitaji kupata ushindi. Dakika 15 za mwanzo Coastal Union ilianza kwa kasi ila mipango ilikuwa inakwama kwenye miguu ya Dickson Job na Yanick…

Read More

MKOMBOZI WA SIMBA KWENYE MAJUKUMU MAZITO

SIMBA iliyo chini ya Kocha Msaidizi Seleman Matola imemtambulisha rasmi nyota Moses Phiri ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Zanaco. Huu unakuwa ni usajili wa kwanza kwa Simba ambao msimu huu wamepoteza kila taji amalo lilikuwa mkononi mwao. Ni dili la miaka miwili nyota huyo amepewa ambapo anamajukumu ya kuweza kufanya kazi ya kutibu…

Read More