
COASTAL UNION YAINYOOSHA DODOMA JIJI,NAMUNGO,PRISONS HAKUNA MBABE
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Mei 20 umeendelea ambapo mechi mbili zimekamilika kwenye viwanja viwili tofauti. Mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, ubao umesoma Coastal Union 2-1 Dodoma Jiji. Mabao ya Coastal Union mtupiaji ni kijana Abdul Suleiman aliyeanza kuwatungua Dodoma Jiji dk 7 na 15 lile la Dodoma Jiji ni…