BEKI WA KAZI AINGIA ANGA ZA SIMBA

KLABU ya Simba ipo katika mazungumzo na beki la kazi raia wa Cameroon, Jean Jospin Engola kwa ajili ya kuimarisha ukuta wa timu hiyo kuelekea msimu ujao. Simba huenda ikaachana na mabeki wake wa kati akiwemo Pascal Wawa na Erasto Nyoni, hivyo ipo katika mawindo ya kusajili beki mwingine wa kimataifa kuziba nafasi hiyo. Akizungumza…

Read More

PABLO:HATUNA PRESHA NA YANGA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema wapinzani wao Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya nusu fainali haiwapi presha kwa kuwa wanaamini watafanya maandalizi mazuri. Zimebaki siku 7 kabla ya watani hawa wa jadi hawajakutana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mei 28. Pablo amesema kuwa anawatambua wachezaji wake namna…

Read More

KOCHA YANGA:MAYELE ATAFUNGA TU

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mshambuliaji wake namba moja Fiston Mayele atafunga kwenye mechi zilizobaki kwa kuwa anapenda kufunga na uwezo anao. Mayele kwenye mechi nne mfululizo za ligi hajafunga akiwa ameachwa kwa bao moja na mtupiaji namba moja George Mpole wa Geita Gold mwenye mabao 13 na pasi tatu za mabao….

Read More

BOSI SIMBA,YANGA WAITWA KAMATI YA MAADILI TFF

OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa ushahidi wa shutuma anazodaiwa kuzitoa wakati akihojiwa na Kituo cha Radio  nchini Afrika Kusini hivi karibuni. Katika taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa, Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko yao kwa TFF dhidi ya…

Read More

KAZE:TUNAZITAKA POINTI TATU ZA MBEYA KWANZA

 CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Mbeya Kwanza ambao unatarajiwa kuchezwa leo Mei 20, Uwanja wa Mkapa. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi zao 60 baada ya kucheza mechi 24 wanakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Mbeya Kwanza ambao…

Read More

JEMBE:BWALYA MAJI KUPWA MAJI KUJAA,

MCHAMBUZI wa Soka Saleh Ally ‘Jembe’ katika kipindi cha Krosi Dongo kinachorushwa na 255globaradio na Global TV amesema kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia Rally Bwalya amekuwa kwenye kiwango ambacho hakieleweki kwa kukipa tafsiri ya maji kupwa maji kujaa. Jembe amesema kwamba kuna muda anakuwa katika kiwango kizuri na muda mwingine anakuwa kwenye kiwango…

Read More

LALA SALAMA NDANI YA LIGI INAHITAJI UMAKINI

MWENDO unazidi kusonga kwa sasa kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni lala salama ya moto na yenye ushidani mkubwa. Wakati wa kupanda kile ambacho ulikuwa unastahili ni sasa na ambaye ataweza kushinda atacheka na yule ambaye atashindwa tabasamu litayeyuka kwake. Huu ni mzunguko ambao unakwenda kuamua nani anakuwa bingwa na nani anakwenda…

Read More

SIMBA SC YAMFUATA RASMI LUIS

BAADA ya kuwepo kwa tetesi kwamba Al Ahly ina mpango wa kumtoa kwa mkopo winga wake, Luís Miquissone, inaelezwa kwamba, uongozi wa Simba fasta umemfuata mchezaji huyo kutaka kumrejesha kikosini hapo. Luis ambaye alikuwa mchezaji wa Simba kwa kipindi cha msimu mmoja na nusu kuanzia Januari 2020 hadi Agosti, 2021, tangu ajiunge na Al Ahly…

Read More

ARTETA AMECHOKA KUWATETEA WACHEZAJI

 MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa walistahili kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Newcastel United. Arsenal ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa St James Park. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kuwa kwenye wakati mgumu katika kusaka nafasi ya kucheza michuano ya Ligi…

Read More

GEITA GOLD V SIMBA SASA KUPIGWA CCM KIRUMBA

 MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Geita Gold v  Simba unaotarajiwa kuchezwa Mei 22,2022 utachezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Geita Gold imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu baada ya kuanza kwa kusausua mwanzoni mwa msimu na sasa inacheza soka bora. Mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Mbeya Kwanza na ilishinda bao 1-0 Uwanja wa…

Read More