MZAMBIA SIMBA APEWA MKATABA WA KAZI KISA LWANGA

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco amelazimika kumuongezea kandarasi kiungo wa Zambia, Rally Bwalya kwa ajili ya msimu ujao. Sababu kubwa inatajwa kuwa ni kutokuwa fiti kwa kiungo mkata umeme Taddeo Lwanga raia wa Uganda. Kiungo Bwalya alisajiliwa Simba Agosti 15, 2020 akitokea Power Dynamos FC ya kwao Zambia alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada…

Read More

AZAM FC YASEPA NA POINTI TATU MANUNGU

AZAM FC leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa mzunguko wa pili ambao umechezwa Uwanja wa Manungu, Morogoro. Ushindi huo unaifanya Azam FC kusepa na pointi tatu Uwanja wa Manungu leo Mei 21 na kufikisha pointi 36 kibindoni. Azam FC wakiwa wametoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1…

Read More

CEO SIMBA,HAJI MANARA WAFUNGUKA BAADA YA KUITWA TFF

MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Simba Barbara Gonzalez na Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga Haji Manara leo wametinga katika Ofisi za Shirikisho la Mpira Tanzania, (TFF) ambapo waliiitwa kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya TFF. Kila mmoja kwa nyakati tofauti kaweka wazi kwamba hakuna jambo ambalo wanaweza kuzungumza mpaka pale taarifa itakapotolewa….

Read More

SERENGETI GIRLS KILA KITU KINAWEZEKANA

KUMEKUCHA kwa wawakilishi wa Tanzania, Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, U 17 kuweza kuwakilisha nchi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Maandalizi ambayo walianza kuyafanya awali kabla ya mchezo inaonesha kulikuwa na mpango wa kupata ushindi kwenye mchezo ujao ambao utakuwa na ushindani mkubwa. Kikubwa kwa vijana hawa ambao wanaiwakilisha Tanzania…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

MEI 21 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Polisi Tanzania itakuwa nyumbani Uwanja wa Ushirika kucheza dhidi ya Biashara United. Mtibwa Sugar itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Azam FC ni pale Uwanja wa Manungu. Kagera Sugar ni mbele ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa…

Read More

COASTAL WAANZA KUIVUTIA KASI MBEYA CITY

BAADA ya kumaliza kazi mbele ya Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga hesabu zao kwa sasa ni mbele ya Mbeya City. Mabao ya Coastal Union yenye maskani yake pale Tanga yalipachikwa na kijana Abdul Suleiman ambaye ameitwa pia kwenye kikosi cha timu ya…

Read More

SIMBA YASAKA SAINI YA MSHAMBULIAJI ORLANDO PIRATES

IMEELEZWA kuwa Simba imeanza mazungumzo na mshambuliaji wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, Kwame Peprah raia wa Ghana kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao huku thamani yake ikitajwa kuwa euro 250,000 (Sh mil 608.6). Simba imepanga kukiboresha kikosi chao ili kifikie malengo ya kufika hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

HT:YANGA 3-0 MBEYA KWANZA

NDANI ya dakika 45, Yanga imefunga mabao 3-0 dhidi ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Kasi walianza nayo ndani ya dakika 15 kwenye mchezo huo huku Mbeya Kwanza wakiwa kwenye mbinu ya kujilinda zaidi kwenye mchezo wa leo. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia bao la kufungulia…

Read More

JESHI LA YANGA LITAKALOANZA DHIDI YA MBEYA KWANZA

SAA 1:00 leo Mei 20,2022 Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili. Ni kikosi kamili Yanga wameanzisha mbele ya Mbeya Kwanza ikiwa namna hii:- Diarra Djigui Kibwana Shomari Farid Mussa Yannick Bangala Dickson Job Khalid Aucho Sure Boy Jesus Moloko Ambundo Ntibanzokiza Mayele…

Read More

MASTAA HAWA SITA WA SIMBA WAMEITWA STARS

LEO Mei 20,2022 Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa ametangaza orodha ya wachezaji wa timu hiyo watakaoingia kambini. Wachezaji hao ambao wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars ambacho kitaingia kambini kujiandaa na michezo ya kufuzu AFCON 2023 wana kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi mbili za awali. Kwa upande…

Read More