
EPL, LALIGA NA LIGI ZINGINE ULAYA KUENDELEA WIKIENDI HII
Baadhi ya timu zimeshamaliza misimu kwa kuzijua nafasi zao, zingine bado zinajitafuta huku wengine wakitafuta nafasi ya kuweka heshima kwa wapinzani. Meridianbet tunakupa nafasi ya kuzifuata Odds bora na bonasi kubwa wikiendi hii, mkeka wako uweke hivi; Anfield utachezwa mchezo wa EPL kati ya Liverpool na Tottenham Hotspurs. Licha ya Liverpool kujihakikishia nafasi ya…