AZAM FC WAIFUATA COASTAL UNION ARUSHA

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa wachezaji wao wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union. Leo Mei 26 kikosi hicho kimeanza safari kuelekea Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mchezo wa mwisho uliopita Azam FC…

Read More

PABLO AWAPA KAZI MAALUMU MABEKI WAKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amefichua kuwa amewaonya mabeki wa timu hiyo, wakiwemo Henock Inonga na Joash Onyango kuongeza umakini juu ya washambuliaji wa Yanga wakiongozwa na Fiston Mayele. Simba wanatarajia kucheza na Yanga katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA unaotarajia kupigwa Mei 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba…

Read More

MTIBWA SUGAR WAAMBULIA KICHAPO,POLISI WAPETA

HAMSINI Malale, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa anashukuru kwa ushindi aliopata mbele ya Mtibwa Sugar kwa ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa ligi. Kwa upande wa kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma amesema kuwa sababu ya kushindwa kupata matokeo ni uwanja. Ilikuwa ni mabao ya Datius Peter dk ya 43 kwa…

Read More

CHAMA HATIHATI KUWAKOSA YANGA NUSU FAINALI

 KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama kuna hatihati kuweza kuukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga. Mchezo huo ambao ni wa hatua ya nusu fainali unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mei 28,2022. Mshindi wa mchezo huo anatarajiwa kutinga hatua ya fainali ambapo atacheza na mchezo wa fainali na mshindi wa mchezo Coastal…

Read More

MASTAA WAWILI YANGA WATIMULIWA KAMBINI

 IMEELEZWA kuwa nyota wawili ndani ya kikosi cha Yanga wametimuliwa kambini kutokana na kushindwa kufuata utaratibu ambao upo. Ni winga Dickosn Ambundo ambaye amekuwa kwenye mwendo mzuri kwenye mechi za hivi karibuni kwa kuwa chaguo la kwanza kwa Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi. Pia nyota mwingine ni Said Ntibanzokiza ambaye yeye ni kiungo mshambuliaji. Habari zimeeleza kuwa…

Read More