AZAM FC YASEPA NA POINTI TATU MANUNGU

AZAM FC leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa mzunguko wa pili ambao umechezwa Uwanja wa Manungu, Morogoro. Ushindi huo unaifanya Azam FC kusepa na pointi tatu Uwanja wa Manungu leo Mei 21 na kufikisha pointi 36 kibindoni. Azam FC wakiwa wametoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1…

Read More

CEO SIMBA,HAJI MANARA WAFUNGUKA BAADA YA KUITWA TFF

MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Simba Barbara Gonzalez na Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga Haji Manara leo wametinga katika Ofisi za Shirikisho la Mpira Tanzania, (TFF) ambapo waliiitwa kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya TFF. Kila mmoja kwa nyakati tofauti kaweka wazi kwamba hakuna jambo ambalo wanaweza kuzungumza mpaka pale taarifa itakapotolewa….

Read More

SERENGETI GIRLS KILA KITU KINAWEZEKANA

KUMEKUCHA kwa wawakilishi wa Tanzania, Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, U 17 kuweza kuwakilisha nchi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Maandalizi ambayo walianza kuyafanya awali kabla ya mchezo inaonesha kulikuwa na mpango wa kupata ushindi kwenye mchezo ujao ambao utakuwa na ushindani mkubwa. Kikubwa kwa vijana hawa ambao wanaiwakilisha Tanzania…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

MEI 21 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Polisi Tanzania itakuwa nyumbani Uwanja wa Ushirika kucheza dhidi ya Biashara United. Mtibwa Sugar itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Azam FC ni pale Uwanja wa Manungu. Kagera Sugar ni mbele ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa…

Read More

COASTAL WAANZA KUIVUTIA KASI MBEYA CITY

BAADA ya kumaliza kazi mbele ya Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga hesabu zao kwa sasa ni mbele ya Mbeya City. Mabao ya Coastal Union yenye maskani yake pale Tanga yalipachikwa na kijana Abdul Suleiman ambaye ameitwa pia kwenye kikosi cha timu ya…

Read More

SIMBA YASAKA SAINI YA MSHAMBULIAJI ORLANDO PIRATES

IMEELEZWA kuwa Simba imeanza mazungumzo na mshambuliaji wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, Kwame Peprah raia wa Ghana kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao huku thamani yake ikitajwa kuwa euro 250,000 (Sh mil 608.6). Simba imepanga kukiboresha kikosi chao ili kifikie malengo ya kufika hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More